Bosi wangu ananitaka, ushauri tafadhali

Bosi wangu ananitaka, ushauri tafadhali

mwasamasole

Senior Member
Joined
Oct 25, 2015
Posts
106
Reaction score
119
Mimi ni dreva na bosi wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bosi wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia.

Je naweza kosa kazi?

Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu?

Ushauri wenu wana JF
 
we unaonaje kwa mtazamo wako?
umeoa?
unafamilia inakutegemea?
unamalengo gani ya maisha?
 
Mimi ni dreva na bos wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bos wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia je naweza kosa kazi? Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu? Ushauri wenu wana jf
Sijui kwanini bahati kama hizi hazitutokeagi sie wengine,
Piga mzigo kaka, ila ukumbuke kuvaa ndomu,
Ikiwezekana kama hujui mautundu basi jifunze hata thru porn movies ili mkiwa kwenye game umuombe akuongeze mshahara.
Mambo ya sijui ameolewa au umeoa hayo yataji-solve mbele ya safari. Otherwise tusije tukakukuta Kijijini kwenu umerudi baada ya kupigwa chini Job
 
Mimi ni dreva na bos wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bos wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia je naweza kosa kazi? Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu? Ushauri wenu wana jf
Ungemsaidi tu ndugu ! fanya kama unatoa sadaka.
 
acha kutujaribu wewe, angekua amekutaka kimapenzi ungekuja hata kuuliza huku??? sema wewe ndio unamtamani na kuishia ku "fantasize"
 
Mimi ni dreva na bosi wangu ni mwanamke. Tatizo linalonipata ni pale bosi wangu anaponitaka kimapenzi ni mwezi sasa unapita namkatalia.

Je naweza kosa kazi?

Na kama nikimkubalia kazi ndo itakua nzuri kwangu?

Ushauri wenu wana JF
Mpe mambo wala usijicheleweshe na hiyo FURSAAAA
 
Mwanaume kuchira ni kama starehe kwake sio kimahaba zaidi!mkule tu sio kila kitu utaomba msaada huku jf utapata.tumia akili yko na ya kuambiwa pimbi wee
 
Back
Top Bottom