chumvichumvi
JF-Expert Member
- May 6, 2010
- 1,206
- 304
Hatimae kikosi cha taifa stars cha ilaza bafana bafana kwa moja bila hadi raha jaman
kweli aseehWamenifurahisha japo mwishoni walishambuliwa sana
Yenyewe leo wameji understandWamenifurahisha japo mwishoni walishambuliwa sana
Hata juzi nyumbu wenzio walisema tutapigwa 4 na SAUsishangae wakalimwa
3_0na Zambia on Wednesday
Sasa na lazma mkalie coHata juzi nyumbu wenzio walisema tutapigwa 4 na SA
Bora hyo acha lawamaTunashinda kibahati na sio kwa kuonesha kiwango kizuri cha mpira. ..bado kunahitajika kuiunganisha timu ili iweze kucheza ki professional zaidi.
Mkuu, huyu ni mbetishaji gani? Nataka niingie huko naye nimle...
meridian bet mkuuMkuu, huyu ni mbetishaji gani? Nataka niingie huko naye nimle...