Madaga
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 470
- 633
Jisajiri ajiraportalila mwnye ufaham na mfano wa kuandika hy vitu msaada tafdhl maana tushazoea kutuma kutumia email ila hapo cjaona
Sent using Jamii Forums mobile app
Jisajiri ajiraportalila mwnye ufaham na mfano wa kuandika hy vitu msaada tafdhl maana tushazoea kutuma kutumia email ila hapo cjaona
nikweli mkuu umesomeka vemaNdugu yangu binadamu mwenye husuda hata kama utaoga Maji atasema unamtimulia vumbi,(PR.Magufuli's slogan )
yaan hapo nahisi nafasi zitabaki wazi maan madereva wengi mtaani hawana vigezo
hela wanayoipta via uber ni kubwa kuliko hela watakayoipata as dereva wa serikali. madereva wa uber wa uber wakiomba nafasi za serikalini ni kujidowngrade tukuna graduates wengi madereva wa uber.. na wengine wana leseni hizo... wataomba pia.. utashangaa watu wamejaza taifa siku ya usahili
hela wanayoipta via uber ni kubwa kuliko hela watakayoipata as dereva wa serikali. madereva wa uber wa uber wakiomba nafasi za serikalini ni kujidowngrade tu
MADEREVA WA SERIKALINI AMBAO NI FORM FOUR LEAVER WANA MAISHA MAZURI KULIKO MWALIMU WA SHAHADA
HATA FURSA WANAZO ZA KUTOSHA KUTOKANA NA UKARIBU WAO NA VIBOPE
MJINGA MIMI NILIJISHAUA KUSOMA SANA ILI NIFIKE CHUO KIKUU NA BADO NAISHI PANGA PAKAVU TIA MCHUZI
Hawa UBER ambao wanaweza kuacha project wakati wowote ? Mkuu dereva wa serikali anapata night allowance ya 80000 per day akienda safari na pesa ya mafuta anapewa yeye mkononi. Wadanganye waendelee kuendeasha Uberhela wanayoipta via uber ni kubwa kuliko hela watakayoipata as dereva wa serikali. madereva wa uber wa uber wakiomba nafasi za serikalini ni kujidowngrade tu
Ndo ingia zako NIT apo au VETA chkua gamba, kachkue lesen ya C1 ingia mzigon,, muda bdo unakuruhusu mzee la sivyo utaenda sana DUCE af mchongo hulambi kudadeki.MADEREVA WA SERIKALINI AMBAO NI FORM FOUR LEAVER WANA MAISHA MAZURI KULIKO MWALIMU WA SHAHADA
HATA FURSA WANAZO ZA KUTOSHA KUTOKANA NA UKARIBU WAO NA VIBOPE
MJINGA MIMI NILIJISHAUA KUSOMA SANA ILI NIFIKE CHUO KIKUU NA BADO NAISHI PANGA PAKAVU TIA MCHUZI