mwasamasole
Senior Member
- Oct 25, 2015
- 106
- 119
Ni ukweli usiopingika kuwa mfumo uliopo sasa hivi unaoongoza nchi yetu ni mfumo uliosukwa na hayati Magufuli, hivyo siyo rahisi kwa rais aliyepo kuoneasha mabadiliko makubwa na ya kushangaza yanayoweza kuwa tofauti na mtangulizi wake.
Hivyo baada ya muda fulani ambapo atakua kafanya mabadiliko ya uongozi uliokuwepo na akapanga safu ya uongozi anayoitaka yeye ndipo tutakapokua na uwezo wa kujua kama hana jipya au ni kweli kaanza vizuri. Tumpe muda, tuwe na subira.
Hivyo baada ya muda fulani ambapo atakua kafanya mabadiliko ya uongozi uliokuwepo na akapanga safu ya uongozi anayoitaka yeye ndipo tutakapokua na uwezo wa kujua kama hana jipya au ni kweli kaanza vizuri. Tumpe muda, tuwe na subira.