hapa naomba nieleweke kuwa nimejifunza mbinu kadhaa za ufugaji hapa jamvini, sasa baada ya kuingia kwenye ufugaji nikagundua hii mbinu mpya ya kutibu ndui/fowl pox, najua kuna wataalam hapa au kama kuna mtu ashawahi kuitumia tubadilishane uzoefu na kama hakuna basi wataalam waifanyie utafiti...
hicho kipengele cha pili ndo jibu mkuu, mtu unayempenda usiwasiliana nae kwa siku nzima tu ni tatizo....tunatoka kwenda kibaruani asubuhi ukiwa na uhakika wa kurudi jioni lkn haifiki saa nne ushamtext wife zaidi ya mara mbili,tatu...itakuwa hii ya kukaa kimya miezi kadhaa??
Habari, nimekuwa nikisoma machapisho mengi sana hapa JF yanayohusiana na mbinu za ufugaji wa kuku wa kienyeji na nimehasika kufuga, kwa kipindi ambacho nimeanza kufuga nimeweza kugundua kitu kipya (nasema kipya kwa sababu sikuwahi kukutana bacho hapa JF). Ni kuhusu kutibu ugonjwa wa ndui kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.