M24 Headquarters-Kigali
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 8,151
- 8,133
Nchi hii tulibahatika kupata rais mpenda michezo kwa miaka kadhaa, tunaomba awamu hii ihakikishe yafuatayo;
1. #TeamTanzania# tunachukua Medali za Dhahabu katika Mashindano ya Olimpiki, Rio2016,
2. Taifa Stars inaingia na kutwaa WORLD CUP 2018 na kuwa timu bora duniani.
3. Kuongeza somo la michezo katika mitaala ya shule za msingi & Sekondari.
4. Sekta ya MICHEZO ipewe kipaumbele ili kuwezesha maandalizi mazuri na ujenzi wa viwanja vya michezo kila kata (katika shule za sekondari za kata)
1. #TeamTanzania# tunachukua Medali za Dhahabu katika Mashindano ya Olimpiki, Rio2016,
2. Taifa Stars inaingia na kutwaa WORLD CUP 2018 na kuwa timu bora duniani.
3. Kuongeza somo la michezo katika mitaala ya shule za msingi & Sekondari.
4. Sekta ya MICHEZO ipewe kipaumbele ili kuwezesha maandalizi mazuri na ujenzi wa viwanja vya michezo kila kata (katika shule za sekondari za kata)