Niko njia panda,naombeni ushauri

Niko njia panda,naombeni ushauri

Pole sana kiongozi hakunaga mapenzi yakiivyo , nina hisi umepigwa kibuti.
ASANTE kiongozi, ndio maana niliomba ushauri ili nyie wajuzi wa mambo mnisaidie kufumbua hili fumbo.
 
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.

Mimi kuna dem wangu 1 alikuwa chuo nikimpenda sana, kuna siku alinipa story kama hiyo tusitafutane hadi yeye amalize chuo then ndo turejeshe uhusiano kwa ndoa mana alinambia mara nying nikimtafuta anakuwa hana mda na namdistabu lakini wakati huo huo ananishauri mimi jambo hilo yeye ukimpigia simu ni nadra sana simu yake kukuta haiku busy ata nyakati za usiku nikagundua anahitaji freedom ili astarehe na mume mwenzagu.

Nilisema na moyo wangu nikaachana naye. Niliumia sana lakini nilimuacha, Baada ya kumaliza chuo aliweka prof picha ya mwanamme na status ya kusema kwamba amezama kwake mimi pia nikawa kimya.

Baada ya muda ivi nadhan jamaa naye walipigana chini akaanza kunitafuta tafuta nikawa sina tyme naye na simtaki sipokei simu zake. Sasa na wewe sema na moyo wako huyo so wako tena someone is enjoying with her, kuna mtu anakula vitamu dawa yake ni kumsahau tu. Tafuta wa karibu yako ukilazimisha utaumizwa zaidi ya hapo.
 
Mimi kuna dem wangu 1 alikuwa chuo nikimpenda sana, kuna siku alinipa story kama hiyo tusitafutane hadi yeye amalize chuo then ndo turejeshe uhusiano kwa ndoa mana alinambia mara nying nikimtafuta anakuwa hana mda na namdistabu lakini wakati huo huo ananishauri mimi jambo hilo yeye ukimpigia simu ni nadra sana simu yake kukuta haiku busy ata nyakati za usiku nikagundua anahitaji freedom ili astarehe na mume mwenzagu.

Nilisema na moyo wangu nikaachana naye. Niliumia sana lakini nilimuacha, Baada ya kumaliza chuo aliweka prof picha ya mwanamme na status ya kusema kwamba amezama kwake mimi pia nikawa kimya.

Baada ya muda ivi nadhan jamaa naye walipigana chini akaanza kunitafuta tafuta nikawa sina tyme naye na simtaki sipokei simu zake. Sasa na wewe sema na moyo wako huyo so wako tena someone is enjoying with her, kuna mtu anakula vitamu dawa yake ni kumsahau tu. Tafuta wa karibu yako ukilazimisha utaumizwa zaidi ya hapo.

Very touching story bro....nakushukuru sana kwa maoni yako na mchango wako kimawazo ukitolea mfano halisi wa changamoto ambayo nawe ulikutana nayo. ASANTE.
 
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.
hivi haya mapenz yanawafanya muwe watoto? Hapo mzingue na hzo bla bla zake ka vp pga down songa mbele
 
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.
hicho kipengele cha pili ndo jibu mkuu, mtu unayempenda usiwasiliana nae kwa siku nzima tu ni tatizo....tunatoka kwenda kibaruani asubuhi ukiwa na uhakika wa kurudi jioni lkn haifiki saa nne ushamtext wife zaidi ya mara mbili,tatu...itakuwa hii ya kukaa kimya miezi kadhaa??
 
Watu MNA mamboooo....Mi ninavyoona huyo Mdada pengine hakuwa Na nia mbaya labda Lengo Ni kumtest ama VP..mumuulize tena Huyuu mleta Mada jje huyoo Dada bado yupo kimya?au keshamtafuta Na je mleta Mada aseme wazi kama yy sio chanzo au cha huyo Mdada kumlefutisha kwa muda pengine Ajifunze.Mtasema Lakini Mimi kama Mimi nimejifunza kitu hapoo huenda jamaa alikuwa hatoi matunzo yoyote..(Na huyo Ni Simu kwa wanaume walio wengi)Wakijidanganya Si anafanya kazi??Sasa inatokea pengine jamaa ana uso wa dagaa.hajari hakuna care pengine akaona a mwambie vile atajifunza..kawaida ungekuwa Anatoa matunzo hata kidogo Ni vigumu huyo Dada kuthubutu hata kutaka Ilo neno..Ni sawa Na Redio.Changa iliyopata mdhamini wa Airtel aukataee au aseme we mdhamini ujee mwakani.Mkaka jiongezee..Kuna udhaifu haujaweka wazi..Na ninyoli washauri mjiulize jambo dogo tu kama huyoo jamaa alikuwa anamjali Mdada angemblock??ili.Sasa apataje msaada..wanaume wengine hujisahau mwisho Wa Siku yanawakuta..mwanamke matunzo.Kharaghabao..wenzio watamuwai au wameshamuwahi..Na ubahili usiokuwa Na point.
 
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.
Hivi bado unasubir kusoma number?
 
Mbali sana khaaa em fanya utaratibu muwe karibu hapo hakuna njia panda sawa eee
 
Hicho ndicho hata mimi kilinishangaza sana, kwanini hataki mawasiliano....yaani ani-block, na mimi nim-block! Dah still confusing kwa kweli
Kuwa makini asije kuwa na mpango wa kando.
 
Yaan hujaona tuu hapo jmn mkaka. Mungu akutoe huo upofu sasa. Na kama ndio ulikua una tuma pesa pole sana. Amka usingizin hebu
 
Wanawake Ni balaa, hapo Kuna kijeba yupo kwake au anaishi na mwanaume
 
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.
Wapendwa Wana JF,

Nimekuwa katika uhusiano na dada mmoja mzuri sana, na kulingana na nilivyo mtathimini anaonekana ni wife material, I admit to say that from my heart. Tatizo lililopo ni kuwa tunaishi mikoa mbali mbali. Mimi naishi mkoani kagera, na yeye anaishi mkoa wa Katavi.

Toka tufahamiane tumekuwa na mawasiliano active muda wote, though mikwaruzo ya mara chache chache sana hutokea na immediately we resolve it and become one thing again.

USHAURI:
Kwa kuwa tumeadhimia kuweka mambo yetu hadharani kwa wanafamilia mwishoni mwaka huu (december, 2016), huyu mpenzi wangu ameniomba na kushauri kuwa ni vema tusiwe na mawasiliano kwa muda wa miezi mitano toka sasa hadi mwezi september, 2016 ili ibaki miezi mitatu...then ndio tuanze mawasiliano motomoto kuelekea december kukamiliasha mambo muhimu ya kutuunganisha rasmi.

Kasisitiza kuwa ili kufanikisha hilo kila mmoja am-block mwenzake kwenye simu na kusiwe na mawasiliano hadi tarehe 1 semptember, 2016. Mimi nilishangazwa na kauli ile, kwa haraka ili kupima upepo nione itakuaje. Nilipomkubalia tu, basi akani-block kweli hadi muda huu naandika huu uzi.

1. Wadada kweli mnaweza fanya hivyo kwa mtu unayempenda kwa dhati - kutowasiliana nae for 5 months?
2. Inawezekana kuna jambo nyuma ya pazia huko katavi na mimi nisijue kinachoendelea?

Nipo njia panda...nishaurini....nielekeee upande wa kulia kumfuata atakavyo yeye au mimi niamue kufuata njia nyingine upande wa kushoto?

NB: Naombeni ushauri sahihi hasa kwa watalaam wa mambo ya mahusiano yenye muelekeo wa ndoa.

KARIBUNI.
Hamnaga mapenzi ya aina hiyo,angalia usipoteze muda wako,tafuta maisha acha kupoteza muda na huyo msichana...kaa utulie utapata mwanamke sahihi wa ndoto zako.
 
Pole sana,mkuu hapo huna chako tena jiulize kwann msiwasliane miez yote hyo 5
 
Tulia kwanza aflash mimba aloipata kwa mshkaji wangu, ili mbunye ijirud vizur mpaka muda huo mlioafikiana. Usijali atakutafuta tu ila kuwa na hadhari ndugu, usiingie miguu yote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom