Nimeangalia CD iliyorikodiwa sijui na nani wakati wawakilishi wa baraza kama watu binafsi wakitowa maoni juu ya katiba mpya waitakayo kama sehemu ya wananchi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Lakini kwa kweli kilichonihuzunisha mimi na mpaka sasa nasikia aibu ndani ya nafsi yangu ni jinsi ya...
Ndugu wana jamvi hivi karibuni nimenunua king'amuzi cha coconut huku zanzibar maana kwa kipindi hili nipo huku visiwani yaani kimekaa kitapeli zaidi maana hakuna lolote linaloendelea yaani tumelipia laki moja lakini hatupati channel hata moja ipo kama mtandao wa tigo unaingia na kutoka unaona...
Ndugu wana JF wote wale wanaochukia madhila kwa wananchi munaalikwa nyote katika maandamano ya kupinga kuwepo kwa BAR maeneo ya kiembe samaki maana imekuwa kero sana wanasumbua kwa miziki na fujo za walevi kesho alhamis tunaelekea mahakama ya mwanakwerekwe kupinga BAR kuwepo mitaa ya kiembe...
Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi...
Waisilamu wote tunakupenda sheikh Bahsaleh na tunakuombea dua mwenyezi mungu akupe afya njema na salama ili uendelee kutuzindua waisilamu katika kila jambo kila anaekuchukia ni kafiri huyo
Tunamshukuru Sheikh Bahsaleh kwa kuzidi kutufungua macho maana ni mtaalamu sana wa uchambuzi wa mambo ya siasa na uchumi wa tanzania nakukubali sana na mwenyezi mungu akuzidishie hekma tuzidi kupambana na makafiri, najuwa wengi hawakupendi hasa makafiri maana unazidi kutaja mipango yao juu ya...
kwani kabla ya muungano Zanzibar ilikuwa inajiendeshaje ? mpaka waziri aseme muungano ukifa znz nayo itashindwa kujiendesha kama ndio hivyo mbona wanataka muungano uvunjwe ? tuache maneno mengi rekebisheni kero za muungano
Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (Chadema), alisema "mimi ni kiongozi wa Kanisa Katoliki, viongozi wanazungumzia udini na tuhuma kwa baadhi ya vyama vya siasa nashangaa hawachukui hatua.
Wewe ni kiongozi wa kanisa katoliki au mbunge wa rombo ?ukisikia kuchanganya dini na siasa ndio huko hata...
WABUNGE wa Bunge la Tanzania wametaka tuhuma za kuwapo udini nchini ikiwa ni pamoja na ndani ya vyama vya siasa zishughulikiwe kwa kuchukuliwa hatua kuzikomesha.
Wakichangia Makadirio ya Matumizi ya Fedha ya Mwaka 2011/12 ya Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora...
tushawajuwa wauza unga Tanzania wala hatupati shida tena anaelalamika ndio muhusika huyo Ahsante sana muheshimiwa Rais kwa kututajia wauza unga, kazi ya kutaja majina hio si yako watataja wahusika kwenye idarea hiyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.