Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini (Chadema), alisema "mimi ni kiongozi wa Kanisa Katoliki, viongozi wanazungumzia udini na tuhuma kwa baadhi ya vyama vya siasa nashangaa hawachukui hatua.
Wewe ni kiongozi wa kanisa katoliki au mbunge wa rombo ?ukisikia kuchanganya dini na siasa ndio huko hata waumini wako utawalazimisha wafuate chama chako pole mbunge kwa kutojitambua
Chanzo: Habari Leo
Wewe ni kiongozi wa kanisa katoliki au mbunge wa rombo ?ukisikia kuchanganya dini na siasa ndio huko hata waumini wako utawalazimisha wafuate chama chako pole mbunge kwa kutojitambua
Chanzo: Habari Leo