sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,662
'Mkuki mtamu kwa nguruwe,ila mchungu kwa binadamu'. si kila siku tunasikia viongozi wetu wa dini tena kwa maono wanakemea na kusema baadhi ya viongozi wa nchi ni wala rushwa/mafisadi? Kwa nafasi yao wametekeleza wajibu wao kukemea maovu, je wao nani wa kuwakemea?
J.K akisema kuna baadhi ya viongoz wa dini ni wauza poda, ni vibaya, kwani yeye si ni mtanzania, tena Rais? Na je kwan nini uwongo hamna viongozi wa dini wauza unga?
Na alivyosema viongoz wa dini, kwani dini ni wakristo tuu? Jamani hebu tusimchukie kikwete hivyo.
J.K akisema kuna baadhi ya viongoz wa dini ni wauza poda, ni vibaya, kwani yeye si ni mtanzania, tena Rais? Na je kwan nini uwongo hamna viongozi wa dini wauza unga?
Na alivyosema viongoz wa dini, kwani dini ni wakristo tuu? Jamani hebu tusimchukie kikwete hivyo.