Askari wa kike wa kiisilamu (jeshi na polisi) waruhusiwe kuvaa hijabu

Status
Not open for further replies.

Mwambao

Member
Apr 11, 2011
22
6
Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak

Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa hijab wakaiwa katika sehemu zao za kazi, ila hili sijaliona kwa wafanyakazi wa sekta ya ulinzi na usalama wa nchi yetu ambao wao ndio wamebaguliwa na dini zao wala sijasikia mtu kuwatetea hivyo mie naanza kuwatetetea naomba watu wote waniunge mkono ili dada zetu waliopo kwenye hizi taasisi waweze kumtii mwenyezimungu kama wengine walivyopewa fursa ya kumuabudu mola wao dada zetu waliopo kwenye sekta za ulinzi mavazi yao yanawadhalilisha sana wanavaa suruali na visiketi vifupi kwa kweli haliridhishi . zamani askari wa kiume walikuwa wakivaa kaptula lakini sasa wakaliondowa hilo wamewekewa suruwali na na sasa kuna mpango hata wafungwa pia watavalishwa suruali na hili la maaskari nalo liangaliwe kwa hekama na busara dada zetu nao wanahitaji kuvaa mavazi yatakayowastiri maungo yao na linawezekana.

Naomba kuwasilisha nina haraka sana modem yangu imekwisha pesa
 
wataanza kuvaa wale walinzi wa gadafi kwani yeye ndiye nembo ya uislamu hapa duniani hadi katujengea msikiti ila naona mnyaaz mungu anampa mkono wa kwaher,
eid njema waungwana.
 
kwani mavazi ndiyo kufuata dini, nchi haina dini, tafuta mengine, kwanza uislamu na ukristo siyo dini za asili ya Tanzania, jitambue
 
Ukweli ni kwamba katika tafiti nilizofanya jwtz,magereza,na Police,askari wanaopenda kuvaa sare ya jeshi sketi vimini dada zangu wa Muhamad,wanaongoza tofauti na dada zangu wa Nabii Bin Maryamu
 
Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak<br />
<br />
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa hijab wakaiwa katika sehemu zao za kazi, ila hili sijaliona kwa wafanyakazi wa sekta ya ulinzi na usalama wa nchi yetu ambao wao ndio wamebaguliwa na dini zao wala sijasikia mtu kuwatetea hivyo mie naanza kuwatetetea naomba watu wote waniunge mkono ili dada zetu waliopo kwenye hizi taasisi waweze kumtii mwenyezimungu kama wengine walivyopewa fursa ya kumuabudu mola wao dada zetu waliopo kwenye sekta za ulinzi mavazi yao yanawadhalilisha sana wanavaa suruali na visiketi vifupi kwa kweli haliridhishi . zamani askari wa kiume walikuwa wakivaa kaptula lakini sasa wakaliondowa hilo wamewekewa suruwali na na sasa kuna mpango hata wafungwa pia watavalishwa suruali na hili la maaskari nalo liangaliwe kwa hekama na busara dada zetu nao wanahitaji kuvaa mavazi yatakayowastiri maungo yao na linawezekana.<br />
<br />
Naomba kuwasilisha nina haraka sana modem yangu imekwisha pesa
<br />
<br />
Sheikh; Umejiandaaje kumaliza mfungo?!, mabango ya kujirusha yameshajaa kila kona, wewe umechagua wapi?; sanciro?!, bilicanas?!, c/dreamer?!, joly?! Au uwanja wa fisi?!, karibu tuanze ke-share lunch.
 
Fanyeni kazi nyie achaneni na hitikadi, kwani umeamniwa mtu ataenda mbinguni au ahera kwasababu ya kuvaa "mavazi ya kidini" au kwa kutenda kama Allah Karim atakavyo?
 
kama mmekosa cha kuchangia ni heri mnyamaze, yalianza madai ya kuondoa sare za shule kwa wanafunzi, zikaondolewa. Kujengewa misikiti ktk taasisi za elimu, hayo yakapigwa chini, sasa kuna la IOC na Kadhi, leo limekuja la mavazi kwa askari-kesho tujiandae na wanawake wa Kiislam kuachishwa kazi kwa madai ya kuwa anayetakiwa kufanya kazi ni mwanamume-mwanamke kukaa ndani tu, kesho kutwa tutaletewa madai wanawake wa Kiislam wanyang'we leseni za dereva maana mwanamke wa Kiislam kuendesha gari sio UISLAM.

SASA NYIE ENDELEENI KULETA HUMU NCHINI KWETU MADAI YENU. SIKU SISI WENYE DINI YA ASILI YA NCHI HII TUKICHACHAMAA KUDAI HAKI ZETU, NAAMINI WOTE NINYI MUAMINIO DINI ZA MASHARIKI YA KATI INGAWA MNAPINGANA NINYI KWA NINYI, MTATUKOMA MAANA SISI NI WENGI KULIKO MNAVYOFIKIRI. mmekaaaaaaakaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kuleta uchokozi ktk nchi yetu sisi tumenyamaza mnazani hatupo sio.. tuchokozeni nasi ipo siku tutainuka kudai yetu.

Madai ya dini yetu--ni pamoja nakukomboa maeneo yetu yote yaliyokuwa ya kufanyia ibada--waumini wenzangu wanaelewa nini namaanisha.

TURUDI KWENYE MISINGI YA IMANI za KIAFRIKA
 
Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak<br />
<br />
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa hijab wakaiwa katika sehemu zao za kazi, ila hili sijaliona kwa wafanyakazi wa sekta ya ulinzi na usalama wa nchi yetu ambao wao ndio wamebaguliwa na dini zao wala sijasikia mtu kuwatetea hivyo mie naanza kuwatetetea naomba watu wote waniunge mkono ili dada zetu waliopo kwenye hizi taasisi waweze kumtii mwenyezimungu kama wengine walivyopewa fursa ya kumuabudu mola wao dada zetu waliopo kwenye sekta za ulinzi mavazi yao yanawadhalilisha sana wanavaa suruali na visiketi vifupi kwa kweli haliridhishi . zamani askari wa kiume walikuwa wakivaa kaptula lakini sasa wakaliondowa hilo wamewekewa suruwali na na sasa kuna mpango hata wafungwa pia watavalishwa suruali na hili la maaskari nalo liangaliwe kwa hekama na busara dada zetu nao wanahitaji kuvaa mavazi yatakayowastiri maungo yao na linawezekana.<br />
<br />
Naomba kuwasilisha nina haraka sana modem yangu imekwisha pesa
<br />
<br />
Waache kazi wakalee watoto majumbani. usidhalilirhe jeshi please.
 
wakristo wote ni wanafiki,kaeni kimya. Lakini na amini kuwa mungu yupo na atarahisisha mambo . . .ikiwa anajuwa yale ambao hatujuwi.
 
wataanza kuvaa wale walinzi wa gadafi kwani yeye ndiye nembo ya uislamu hapa duniani hadi katujengea msikiti ila naona mnyaaz mungu anampa mkono wa kwaher, eid njema waungwana.

Edmund hiyo nembo umempa wewe mwenyewe kwa utashi wako. Mwislamu ndiyo na kama alisaidia kujenga misikiti sawa na wala siyo ajabu. Kwani Mafia si walikuwa wanasaidia sana kanisa katoliki?
 
kwanza itakuwa vizuri mjeshi wa kike/polisi akamate wanawake wenzake, na vivyo hivyo kwa hao wa jinsia nyingine
 
Fanyeni kazi nyie achaneni na hitikadi, kwani umeamniwa mtu ataenda mbinguni au ahera kwasababu ya kuvaa "mavazi ya kidini" au kwa kutenda kama Allah Karim atakavyo?

Bora unyamaze you know nothing about our religion ... mavazi kwa mwanamke it does matter! ndio maana nchi zilizoendelea wameliona hili mfano UK



hij.jpg



poljil.gif






Hijab-002.jpg

 
kama mmekosa cha kuchangia ni heri mnyamaze, yalianza madai ya kuondoa sare za shule kwa wanafunzi, zikaondolewa.
hivi kumbe mabinti wa kiislam wakienda shule wamevaa hivi unaumia mnoo ehhh
Kujengewa misikiti ktk taasisi za elimu, hayo yakapigwa chini, sasa kuna la IOC na Kadhi,


mahakama ya kadhi ipo njiani inakuja..... ukitaka msitake! kwanza nashangaa haitowahusu ninyi... kelele za nini...?! waislam tuna maswala yetu ya ndoa & mirathi na family tunahitaji itatuliwe kutokana na misingi ya dini yetu..

leo limekuja la mavazi kwa askari-kesho tujiandae na wanawake wa Kiislam kuachishwa kazi kwa madai ya kuwa anayetakiwa kufanya kazi ni mwanamume-mwanamke kukaa ndani tu, kesho kutwa tutaletewa madai wanawake wa Kiislam wanyang'we leseni za dereva maana mwanamke wa Kiislam kuendesha gari sio UISLAM.


hapo unawasemea wanawake wa kiislam .. kama wenyewe wakipaza sauti na kusema kwanini wa sisikilizwe ... kuvaa hijab ni haki yao na halina ubishi hilo....


leo limekuja la mavazi kwa askari-kesho tujiandae na wanawake wa Kiislam kuachishwa kazi kwa madai ya kuwa anayetakiwa kufanya kazi ni mwanamume-mwanamke kukaa ndani tu, kesho kutwa tutaletewa madai wanawake wa Kiislam wanyang'we leseni za dereva maana mwanamke wa Kiislam kuendesha gari sio UISLAM.


SASa kama wenyewe mabint wa kiislam hawataki mtawalazimisha ... wakipaza sauti lazima wasikilizwe ...


SASA NYIE ENDELEENI KULETA HUMU NCHINI KWETU MADAI YENU. SIKU SISI WENYE DINI YA ASILI YA NCHI HII TUKICHACHAMAA KUDAI HAKI ZETU, NAAMINI WOTE NINYI MUAMINIO DINI ZA MASHARIKI YA KATI INGAWA MNAPINGANA NINYI KWA NINYI, MTATUKOMA MAANA SISI NI WENGI KULIKO MNAVYOFIKIRI. mmekaaaaaaakaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! kuleta uchokozi ktk nchi yetu sisi tumenyamaza mnazani hatupo sio.. tuchokozeni nasi ipo siku tutainuka kudai yetu.

Madai ya dini yetu--ni pamoja nakukomboa maeneo yetu yote yaliyokuwa ya kufanyia ibada--waumini wenzangu wanaelewa nini namaanisha.


Hii nchi huishi peke yako lazima mkubali kuna watu wana culture , dini & tabia tofauti.... IF hijjab offends you, turn the other way. IF you do not understand it, knowledge yourself. IF you can't accept it, walk away. IF you have any questions, ask about it . BUT DO NOT disrespect muslims for what they believe. Hijjab is muslim girl personality Hijjab is her pride, Hijjab is her right and you don't have the right to judge her about it .



TURUDI KWENYE MISINGI YA IMANI za KIAFRIKA


hujakatazwa amini unachoamini weye
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom