Napenda kuliweka hili hapa jamvini kama zawadi ya Eid kwa kila mwana jamvi Eid Mubarak
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa hijab wakaiwa katika sehemu zao za kazi, ila hili sijaliona kwa wafanyakazi wa sekta ya ulinzi na usalama wa nchi yetu ambao wao ndio wamebaguliwa na dini zao wala sijasikia mtu kuwatetea hivyo mie naanza kuwatetetea naomba watu wote waniunge mkono ili dada zetu waliopo kwenye hizi taasisi waweze kumtii mwenyezimungu kama wengine walivyopewa fursa ya kumuabudu mola wao dada zetu waliopo kwenye sekta za ulinzi mavazi yao yanawadhalilisha sana wanavaa suruali na visiketi vifupi kwa kweli haliridhishi . zamani askari wa kiume walikuwa wakivaa kaptula lakini sasa wakaliondowa hilo wamewekewa suruwali na na sasa kuna mpango hata wafungwa pia watavalishwa suruali na hili la maaskari nalo liangaliwe kwa hekama na busara dada zetu nao wanahitaji kuvaa mavazi yatakayowastiri maungo yao na linawezekana.
Naomba kuwasilisha nina haraka sana modem yangu imekwisha pesa
Katika taasisi nyingi hapa Tanzania wafanyakazi wao wanavaa na wanaruhusiwa kuvaa mavazi yanayolingana na dini zao kwa mfano, wafanyakazi wa wizara maofisa wabunge na hata walimu na madaktari pia wanafunzi wanaruhusiwa kuvaa hijab wakaiwa katika sehemu zao za kazi, ila hili sijaliona kwa wafanyakazi wa sekta ya ulinzi na usalama wa nchi yetu ambao wao ndio wamebaguliwa na dini zao wala sijasikia mtu kuwatetea hivyo mie naanza kuwatetetea naomba watu wote waniunge mkono ili dada zetu waliopo kwenye hizi taasisi waweze kumtii mwenyezimungu kama wengine walivyopewa fursa ya kumuabudu mola wao dada zetu waliopo kwenye sekta za ulinzi mavazi yao yanawadhalilisha sana wanavaa suruali na visiketi vifupi kwa kweli haliridhishi . zamani askari wa kiume walikuwa wakivaa kaptula lakini sasa wakaliondowa hilo wamewekewa suruwali na na sasa kuna mpango hata wafungwa pia watavalishwa suruali na hili la maaskari nalo liangaliwe kwa hekama na busara dada zetu nao wanahitaji kuvaa mavazi yatakayowastiri maungo yao na linawezekana.
Naomba kuwasilisha nina haraka sana modem yangu imekwisha pesa