Kwasababu wanaume hatupend kukosolew bora kutukosoa kwa kurumia busara, tunauwezo ambao wakike hawana wa kubadir uongo kuw ukweli kwa kutetea uovu ivooo yaan
Hv unafahhlam kuw mtu yeyote ataechepuka kwa ajir ya ujumbe wako nawe unakua unashirik zambi za mtu kutika nje ya ndoa na mtu kuzin na wakiacha utakua umechangia kuvunjika kwa ndoa... Kwann ucngekaa kimya tuu ufanye yko kimya kimya nn intension yko ktk jamii, kama chake cha bamia ww je kama...
Sasa unajifagilio kwa kitu kisichokuhusu watu wengne bhan cjui wamezaliw muda kipnd gan unasema wazungu wanaju hvyo ila ww unajua vp na kitu kengne tanzania inajengwa na watanzania hatujakuta masalia ya magorofa sie tumewekeza wenyew hebu sasa hvi kagoogle kitu kinaitw singita grumer nadhan ndo...
Kakaa hyo sunna umeipata ktk kitabu gan au mtume han alifanya hvyo ikiw huyo nabii muhammad nasikia mkwew alikuja kuamua kesi yao mwanae akapaza saut alimpga kofi lkn muhammad kamtetea mkewe japo kasa la mke lkn hakutaka apigwe na baba yake kaka mambo ya din yaache ktk din na haya ya kijinga...
Kwikwikwiiiii naipenda dar lkn hatuifikii nairob kwa kwel,,, Nairob inashka nafac ya tatu kwa mij bora afrika lkn dar ya nane tena tupewa nafac hyo kwa kuw ni mji unaokua kwa kas sana ko bado washkaj tuendelee kuukuza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.