Zitto apinga adhabu kwa Mdee, kwanini wengine wanasamehewa na Mdee aliomba radhi?

Return Of Undertaker

JF-Expert Member
Jun 12, 2012
4,572
26,885
Bunge kutoa adhabu ya kumsimamisha vikao vya Bunge lote la Bajeti Waziri Kivuli wa Fedha ndg. Halima Mdee ni mwendelezo wa kukandamiza mawazo mbadala.

Wengine wote wamesamehewa au kupewa karipio Kama kiini macho tu. Hii ni Bajeti ya pili mfululizo Waziri Kivuli wa Fedha anasimamishwa. Mdee aliomba radhi hadharani ndani ya Bunge wala sio kwa kujificha, anasimamishwa kuhudhuria vikao.

Walioomba radhi vyumbani wanasamehewa. Hakuna uzandiki ulio uzandiki mkubwa Kama huu. Huu ni mpango maalumu kuzuia Waziri Kivuli wa Fedha kufanya kazi yake wakati huu ambapo Ndio haswa wakati wake. Maamuzi haya ya Bunge ni ya hovyo na yanadhalilisha Bunge.
 
nilijua tu
Endeleeni kulalamika, wao wanashiba. Usipofikia sehemu ukajitambua na kufanya maamuzi magumu hakuna kitakachotokea. tutaendelea hivihivi. Mtu amejiua kwa msongo wa mawazo kisa tamko la mtu mmoja kuzuia pombe iliyotengenezwa kihalali kwa muda mrefu pasipo kutumia busara katika kutoa agizo hilo. Watanzania tumeshasahau na hatukuchukua hatua yoyote ile!!!!. Mniwie radhi nchi hii ina watu wasioweza kujiamulia mstakabali wa maisha yao. EEee Mungu tusaidie
 
Bunge kutoa adhabu ya kumsimamisha vikao vya Bunge lote la Bajeti Waziri Kivuli wa Fedha ndg. Halima Mdee ni mwendelezo wa kukandamiza mawazo mbadala. Wengine wote wamesamehewa au kupewa karipio Kama kiini macho tu. Hii ni Bajeti ya pili mfululizo Waziri Kivuli wa Fedha anasimamishwa. Mdee aliomba radhi hadharani ndani ya Bunge wala sio kwa kujificha, anasimamishwa kuhudhuria vikao. Walioomba radhi vyumbani wanasamehewa. Hakuna uzandiki ulio uzandiki mkubwa Kama huu. Huu ni mpango maalumu kuzuia Waziri Kivuli wa Fedha kufanya kazi yake wakati huu ambapo Ndio haswa wakati wake. Maamuzi haya ya Bunge ni ya hovyo na yanadhalilisha Bunge.

Inategemea na uzito wa issue....kumuita spika fa.......
 
Bunge kutoa adhabu ya kumsimamisha vikao vya Bunge lote la Bajeti Waziri Kivuli wa Fedha ndg. Halima Mdee ni mwendelezo wa kukandamiza mawazo mbadala. Wengine wote wamesamehewa au kupewa karipio Kama kiini macho tu. Hii ni Bajeti ya pili mfululizo Waziri Kivuli wa Fedha anasimamishwa. Mdee aliomba radhi hadharani ndani ya Bunge wala sio kwa kujificha, anasimamishwa kuhudhuria vikao. Walioomba radhi vyumbani wanasamehewa. Hakuna uzandiki ulio uzandiki mkubwa Kama huu. Huu ni mpango maalumu kuzuia Waziri Kivuli wa Fedha kufanya kazi yake wakati huu ambapo Ndio haswa wakati wake. Maamuzi haya ya Bunge ni ya hovyo na yanadhalilisha Bunge.
Utukane makusudi, ili uombe radhi
Zito uko sawa mentally?
Au ushindani wako na Mbowe bado ulitamani na yeye afungiwe?
 
Bunge kutoa adhabu ya kumsimamisha vikao vya Bunge lote la Bajeti Waziri Kivuli wa Fedha ndg. Halima Mdee ni mwendelezo wa kukandamiza mawazo mbadala. Wengine wote wamesamehewa au kupewa karipio Kama kiini macho tu. Hii ni Bajeti ya pili mfululizo Waziri Kivuli wa Fedha anasimamishwa. Mdee aliomba radhi hadharani ndani ya Bunge wala sio kwa kujificha, anasimamishwa kuhudhuria vikao. Walioomba radhi vyumbani wanasamehewa. Hakuna uzandiki ulio uzandiki mkubwa Kama huu. Huu ni mpango maalumu kuzuia Waziri Kivuli wa Fedha kufanya kazi yake wakati huu ambapo Ndio haswa wakati wake. Maamuzi haya ya Bunge ni ya hovyo na yanadhalilisha Bunge.
Adhabu sio sahihi, wananchi wa Kawe wanayo haki ya kuwakilinshwa ndani ya vikao vya bajeti ambako mgawo wao ndiko unakopatikana
 
wekeni kaimu wenu asome, ina maana msamaha haukusamehewa, halafu kwenye sherehe za may mesi, tunadanganyana tu,
 
Mimi nafiki ni muda mwingine wapinzani wagomee vikao kupinga unyanyasaji wa wabunge wa upinzani. Halima mdee no mmoja wa wabunge machachari sana ndio maana wabunge wavivu kufikiri wanaona "anawakimbiza" na dawa ni kumfungia vikao vilivyobaki.
 
Nchi inatawaliwa kwa visasi, visasi, ukanda na kijeshi. Hakutakuwa na demokrasia ya kweli ikiwa CCM itaendelea kuwepo
 
Bunge kutoa adhabu ya kumsimamisha vikao vya Bunge lote la Bajeti Waziri Kivuli wa Fedha ndg. Halima Mdee ni mwendelezo wa kukandamiza mawazo mbadala. Wengine wote wamesamehewa au kupewa karipio Kama kiini macho tu. Hii ni Bajeti ya pili mfululizo Waziri Kivuli wa Fedha anasimamishwa. Mdee aliomba radhi hadharani ndani ya Bunge wala sio kwa kujificha, anasimamishwa kuhudhuria vikao. Walioomba radhi vyumbani wanasamehewa. Hakuna uzandiki ulio uzandiki mkubwa Kama huu. Huu ni mpango maalumu kuzuia Waziri Kivuli wa Fedha kufanya kazi yake wakati huu ambapo Ndio haswa wakati wake. Maamuzi haya ya Bunge ni ya hovyo na yanadhalilisha Bunge.
HIYO ADHABU NI SAWA SAWA KABISA NA AKIENDELEA KUTUKANA TUNAMSIMAMISHA VIKAO VYOTE: NONSENSE
 
Back
Top Bottom