Recent content by mukeshamban

  1. mukeshamban

    Nina Mkosi na Wake za Watu

    kumbe unatumia madawa..basi sina neno zaidi ndyo maana unapenda wake za watu ila ambao hawajaolewa wanakukataa ila usije kojoa dagaa :(:(:(
  2. mukeshamban

    Uhitaji mkubwa wa walimu kwa mwezi wa 6 na 7 2016

    kweli mkuu wakija walimu 120 na kila moja akatoa hyo elf 20 alafu ikaonekana wamefeli wote mbona hawajamaa wanatengeneza pesa ndefu sana 120×20,000
  3. mukeshamban

    Nimechoka kusubiri ajira za walimu

    kweli kabisa mkuu inabidi tuangalie upande wa pili wa kujiongeza ktk maisha
  4. mukeshamban

    Lulu arudi chuo, anachukua telecommunication engineering

    wakusoma hata lulu :D:D:D
  5. mukeshamban

    Nuh Mziwanda ajichora tatooo ya mpenzi wake mpya, adai huyu wa sasa amekuja kwa gia kubwa

    huyo dogo anatuaibisha wanyalukulo wenzake atachoraje tatooo ya kila demu anayekua naye..
  6. mukeshamban

    Kuna 'vigari' mwanaume hutakiwi kuendesha by the way

    tunaanza na hizo unasema then baadae ndyo tunanunua nissan morano n.k
  7. mukeshamban

    Nafasi za Kazi Peoples Bank Of Zanzibar (PBZ)

    duuh ajira tight kila mtu APO anasubili kama atadaka kibarua
  8. mukeshamban

    Mtaani jamani pagumu!

    point mkuu
  9. mukeshamban

    Wanawake wa Kichagga na Kihaya mtatumaliza

    ni tabia tu za mtu mbona hata makabila wengine hzo tabia wanazo. tuache imani kwamba ukioa mwabamke mchaga kama ukiwa tajiri basi ata kufanya ndondocha..
  10. mukeshamban

    Unahitaji Viwanja Njia panda ya salasala ukitokea wazo Hill? Umepata!

    duuh hata vyumba 3 haviwezi toka hapo..
  11. mukeshamban

    Tupia majina ya baa za kibongo

    mbinguni bar & guest house-ipo njombe
  12. mukeshamban

    Bei ya ufuta mwaka huu ni majanga

    biashara ndiyo inavyokua mkuu usitegemee kila mwaka utauza kilo 2000 au 2500.
  13. mukeshamban

    Pilipili

    safi sana kijana one day utakula matunda yako nakuona miaka 5 ijayo uwe kama bilionea mukesh amban
Back
Top Bottom