Recent content by mubeziokoa.com

  1. M

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Mbona wizara ya elimu na afya hazipo?
  2. M

    Mke wangu simuelewi

    Hiyo ni hatar sana bro,inakuwaje kwanza unatoa nafasi ya kuzungumzia ma'ex wake mbele yako,ni dharau cjawai ona,huyo direct keshapigwa pumbu,we ndo mwenye maamuz
  3. M

    Nimempa mimba mdogo wa rafiki yangu

    Mwisho wa ubaya ni aibu,
  4. M

    Majimbo haya UKAWA watashinda mapemaa

    Bukoba mjini CCM wameshikwa tako!!!
  5. M

    Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

    Kaa kimya,hayakuhusu! kwan walipotongozana ulikuwepo,ah
  6. M

    Msaada: Nisije ua mpenzi wangu wa zamani kwa alichonifanyia

    Huo ubwege,hiv mapenz ya dhat uwa nmnayatoa wapi had wapenz cjui wachumba kuwapa adi kadi za benk? achen ulimbuken wa mapenz fanya mambo ya maendeleo,,,
  7. M

    ''Enchweke'': Sauti za waliokufa, inatokeaje mtu anaongea kwa niaba ya mfu?

    Enchweke zipo nimezushuhudia uko Muleba ila sina ufaham kwamba zinatikana na nn aswaah ila nadhan kuna usanii kwa baadhi ya wahanga wa Nchweke,,,,
  8. M

    Hivi hii dhambi inaweza kuniepuka?

    Hiyo dhambi itakufata haiewez kuacha
  9. M

    TBC uchukuaji wa picha live O star TV hongeren

    Yap nami naliona. Star tv hana mpinzan kwa matangazo ya live
  10. M

    Ni chakula gani ulikuwa hukipendi ulipokuwa mtoto?

    Makande adi sasa hiv siyapend mpaka basi!
Back
Top Bottom