Hiyo ni hatar sana bro,inakuwaje kwanza unatoa nafasi ya kuzungumzia ma'ex wake mbele yako,ni dharau cjawai ona,huyo direct keshapigwa pumbu,we ndo mwenye maamuz
Huo ubwege,hiv mapenz ya dhat uwa nmnayatoa wapi had wapenz cjui wachumba kuwapa adi kadi za benk? achen ulimbuken wa mapenz fanya mambo ya maendeleo,,,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.