Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

Mmh sijui nimwambie! Naogopa atalipokeaje

Khaaaa miaka 4 hajakanyaga anapoishi mwenzie???
Hiyo ndoa lazima ina walakini..... inawezekana mke huko aliko anafanya yake....


Ila aliyewaroga mwanaume...... nahisi kafa maana dah... jana nilisoma kisa cha dada mmoja nikahisi unaweza kugawana majengo ya serikali na mtu hivi hivi ukijiona


Hawa viumbe yaani hata tusi la kuwatukana sioni, yote nayaona mazuri, alafu desent women ndio wanaoopoaga mianaume migumegume hata shetani imeishindwa.
 
Mwambie hata kama atapanic but ukweli awe anaujua kiikweli distance zinachangia kuharibu ndoa za watu
 
Mmh naona w'ume weng mmereact vbya sn hii ishu kwann? Maana naona weng mmemuona n mnoko. Maana yke n nini!? Na wakt anamuhurumia rafik yake jins alivyokalia kuti bovu.! N mtazamo tu
 
Um tune aangalie ulipoangalia ukaona hizo taarifa, ataamua yeye. Unaweza kuanza kwa kumuelezea umeona sehemu mtu anafanana na jamaa kisha muoneshe
 
Wana MMU habarini za leo,

Kuna jambo linanitatiza na kuniumi za nataka kusema lakinia naogopa mlengwa atalipokeaje jambo hilo mmh naogopa kuitwa mbeya mie maana wanawake hatunaga vifua vya kuvumilia maumivu.Nina rafiki yangu ambaye ana date na kaka flani hivi for more than a year now mkaka anaonyesha ana mcare na kujifanya yuko muwazi kwake kwa kila kitu.

Wakati wanaanza mahusiano mkaka alimwambia ukweli kuwa alikuwa anaishi na m


mwache usimwambie huenda mwenzako alikua nonely akawa anatamani hata kua na mume wa mtu na

huenda anajua ukweli ila kapumzika we ukafikir hajui

mwache angekua na wasiwasi angepekua yy
 
Mkabili huyo mwanaume na umwambie unachokijua. Usiwe mwoga. Majibu yake yanaweza kukufanya umwambie shoga yako au unyamaze. Usishangae ukikabili hivyo huenda akakutongiza na ukaingia kingi ukamsaliti shoga yako. Asante.
 
Ttz lenu wanawake bla uongo hamjai kwny 18 na tutawadanganya na kuwafuna km nafungu nyanyaaa af unajifunika wenywe
 
Wana MMU habarini za leo,

Kuna jambo linanitatiza na kuniumi za nataka kusema lakinia naogopa mlengwa atalipokeaje jambo hilo mmh naogopa kuitwa mbeya mie maana wanawake hatunaga vifua vya kuvumilia maumivu.Nina rafiki yangu ambaye ana date na kaka flani hivi for more than a year now mkaka anaonyesha ana mcare na kujifanya yuko muwazi kwake kwa kila kitu.

Wakati wanaanza mahusiano mkaka alimwambia ukweli kuwa alikuwa anaishi na mwanamke na wamezaa ila hawakuoana na wametengana kwa muda huo kila mtu anaangalia maisha yake so my friend akaona sio mbaya coz hata yeye alikuwa single na mkaka ni kweli alimvutia wakaamua kuanza mahusiano.Shida imekuja juzi katika pekuapekua yangu ya kimitandao nimegundua yule kaka ameoa ndoa ya kanisani na still wanaishi na mkewe though mke yuko mkoa mwingine kikazi.

Evidence ninazo kuanzia picha za ndoa mpaka picha ambazo alikuwa anapiga na mkewe kipindi hiki ambacho alikuwa anaenda kumtembelea na kumuongopea shosty yuko safarini wana MMU hebu nisaidieni nifanyeje roho inaniuma coz naona kabisa shoga angu anapoteza muda ila je nikimwambia atalipokeajee? Hatoniona mimi mnafiki nataka kuwagombanisha na kuharibu furaha yao?

Maana shosti anamwamini vibaya sana huyu mkaka and kila mara anamsifia a guy is so muwazi and mkweli.
Kuna opinions humu ndani usisikilize maana kuna watu wamezoea uongo uongo. Lying is their way of life. Tell your friend she's being lied to. It's that simple. If she wants to stay with a married man let her make that stupid decision on her own. If she gets mad at you, dont worry she will get over it. If she doesnt, move on. Play your part. If you stay quiet then you are an accomplice to an affair. Don't you have any morals?
 
Mi ningemwambia tu,aamue kusuka ama kunyoa maadam ushahidi upo
 
mwambie tu( ila sasa utumie akili ya ziada namna ya kufikisha ujumbe)... onesha na ushahidi ila hakikisha mke halali wa huyo jamaa hahusishwi... cha muhimu ni kukumesha huo uchepukaji maana binti wa watu anaharibiwa future so msaidie.
 
Fungua email yako kwa jina anonymous mtumie link ajionee mwenyewe kama evidence ipo online kama naogopa kujitokeza kumwambia. But what are friends for? Mwambie ukweli aamue mwenyewe
 
Inamaaana huyo Dada hajui kupekuwa mtandao? Mwambie agoogle ajioneeee... Alafu jaman wanaume ss huwa hatusemagi yooote at least kasema alikuwa na uhusiano.... Tayar inatosha.... U as a woman u must extend ur thinking capacity in order to liberate ur self from the Chain of frustration which could torment u for too long
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom