Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,352
- 108,471
hata cha uraia wala ATM huna mkuu?
Uraia bado hatujapewa...
Hela za kuweka benki zi wapi ndugu yangu hadi kumiliki hiyo ATM...!!!
hata cha uraia wala ATM huna mkuu?
Passport haina dili bana.....
Ndio maana kakurudishia
Aaah jamani.......si ulinishukuru ya kutosha.......sasa mpaka huku......
Ukienda huko unakokwenda uniletee pafyumu..........
ah ah ah ah....ungekuwa ww ndio umetoa huo msaada ungeshakuja kutengezaza uzii....
Ina dili sana sometimes huwezi kufungua a/c au kudraw hela bila passport
Ni muda umepita nilikuja Benki kwenu kutoa Pesa kwa Western union (Hata hivyo sikufanikiwa) ukaniomba kitambulisho ikabidi nikupe Passport yangu. Leo nilitakiwa ku submitt Passport yangu ubalozini kwa ajili ya visa ndio Nahamaki kumbe sina Passport na sijui ilipo. Nimetafuta sana ndani ya nyumba na ndani ya gari na kuuliza watu mbali mbali bila mafanikio.
Nimechanganyikiwa hadi kidogo nipate ajali barabarani. Mara nikakumbuka kuwa mara ya mwisho niliitoa kule Benki.... na kukupa wewe kama kitambulisho. ikabidi nije huku nikiwa nakumbuka akilini kuwa niliichukua kutoka kwako na kurudi nayo. Hivyo nilikuja ili tu kupata uhakika kuwa niliichukua kwako. Wakati nimefika nakutana na suprise ya passport yangu hadi nashindwa kuelezea shukrani zangu.
Nakushukuru kwa kuchukua na kuitunza Hati hiyo na nakueleza kuwa maneno ya shukrani bado nayaumba ili nije nikushukuru. Labda siku moja nitakununulia Dinner pale....
Ubarikiwe sana sana sana.
Nazungumzia nje,tz kutambulisho kinatoshaWeee
Benki hizi hizi za tz????
Watz wangapi wenye passport mpaka hicho kiwe kigezo cha lazima???
Mie nilichoelewa, una passport, una account western union,huwa unasafiri nje ya nchi, una gari,
hayo mengine mbwembwe tu maana kama kushukuru ulishamshukuru, ungetaka mengine ungechukua namba yake umshukuru weeeeee mpaka ashukurike.
Sabuni ya rungu inakutosha.
Cha ajabu nina passport imebakisha mwezi mmoja iishe muda wake na haija wahi kugongwa muhuri hata mmoja.