Mke wangu simuelewi

Mke wangu simuelewi

Kama kwao wote wanamjua kilichomzuia kumuoa nini?
Afu mkeo design jeuri...
Eti mtu akwambie 'namsaidia, taka usitake'....l
Mbona na mimi ningetafuta wa 'kumsaidia' naye aonje utamu
 
Ndio maana wanawake kupigwa haitakaa kuisha duniani yaani kwa kiburi hicho cha mkeo ningemrudisha kwao hana meno ya mbele ni dharau kubwa kuliko hata kushikwa makende. Inaonekana unamchekea sana nyani sasa matokeo yake unavuna mabua na mkeo amekudharau sana kukwambia hivyo elewa kuwa hakupendi hata nukta moja na ameamua kujidhiirisha wazi tena kwa kuhusisha na ndugu zake mrudishe kwao akipata akili na kuomba msamaha mrudie ila si mke huyo
 
I wonder how mtu anakua karibu hivyo na x wake.......
 
hiyo issue unaweza kuimaliza wewe mwenywe...... ndoa ni ya watu wawili tuuu.....hapa watafuta porojo na wadhibitisho visivyo na mashiko.....mwenyewe umedhibitisha..... wataka tukwambie umwache ili..!!!!...jiamulie mwenyewe......
 
Utafanyaje kama mtu si mwaminifu ktk maisha yake ?!. Na ndio maana hivi vibinti visomi na vifanyabiashara hua ni tabu kujenga navyo familia, vinajiamini kupita kiasi, vimekutana na watu wengi cz ya mazingira.

Inaumiza sana kujua mkeo ana mawasiliano na watu wengine especially ex's. Namshauri jamaa awe bize na mambo yake zaidi, kwani si siku nyingi lazima hiyo ndoa ife

Ukituuliza tulio ndani tunasema ndoa tamu sana ila walio nje wanakatishwa tamaa na wana hofu ya kuungana nasi
 
Hahahapendwa mbona mnafanya maisha kuwa magumu?????

Hao ni ex tu...kiufipi wanakuwa binadamu kama binadamu wengine hawana uspecial..... haswa kama hawakuachana kwa mabifu

Kusaidiana binadamu ni kawaida.
Mawasiliano ya mara moja moja kama binadamu sio big deal

Unless kama mawasiliano 24/7 hapo awe na mashaka na achunguze ni story gani zinazopigwa...... lakini kama ni mara 2-3 kwa mwaka...... haina shida bana

Inahitaji moyo kuamini kuwa hawana mahusiano tena kulingana na ukweli kuwa watu walio kuwa wapenzi hawaachani na wakikutana wanakumbushia tu,.
Lakn pia kama wana mawasaliano ya karibu na maex wake aseme sababu zilikuwa ni nn? Maana inaonyesha bado wanapendana
 
mjomba achana nae huyo mpe talaka tu.kwanini?hana adabu na hajali kisha jiulize ikiwa siku moja roho itaacha mwili vipi mtu ynayetaraji atunze heshima na utu wako awe chanzo cha kuupoteza.tupa kule akajifunze adabu
 
Hiyo ni hatar sana bro,inakuwaje kwanza unatoa nafasi ya kuzungumzia ma'ex wake mbele yako,ni dharau cjawai ona,huyo direct keshapigwa pumbu,we ndo mwenye maamuz
 
Hivi wanaolewaga vya nini wakati hawajamaliza kukomba masufuria?
Matokeo yake wanahangaika na viporo.
 
Aaah hili mi nisingeliombea ushauri..kama kuchukua hatua siwezi, bora kujifungia ndani nilieeeeeee
 
Mke wako hana heshima kabisa na wala hana mshipa wa aibu hivi unaanzje kumuambia mume habari za ex?how? Anajiamini nini? Lazima ukomeshe hiyo tabia bila hivyo atakupandia kichwani.Mpe last warning ⚠ then akiendelea ujue kabisa wana uhusiano. Na ndugu zake mkeo hawana adabu na wala hawakuheshimu kabisa.nimechukia sana ni tabia mbaya sana.
 
🙂🙂kaaaaaaaazi unayo kwakweli yawezekana huyo ndiye ex wake sakafu wa moyo wake, kipenzi malaika , mahabuba wa moyo,,, hahahaha
 
Mkuu, huyo mkeo ni aidha anataka talaka au hayuko sawa upstairs. Ukitaka kulielewa hilo, tafuta ex wako yoyote uanze kuwasiliana nae, umweke karibu sana, chati nae sana, hudhuria sherehe za kwao, wasiliana na ndugu zake na ufanye yotw kama anavyofanya mkeo halafu akihoji umjibu kama anavyojibu yeye kuwa ni ex wako ulie karibu nae sana kama ndugu, na unawasiliana na ndugu zake wote na blah blah zote uone kitakachotokea.
Kama hakupendi, atapotezea na kama amekuwa akifanya yote hayo kwa uchizi mapenzi na wehu, atang'aka na kuanzisha ugomvi.
Huna sababu ya kuumia, usimhoji kuhusu ex wake, tafuta hata mchepuko akupunguzie stress.
 
Kwangu mie haikubaliki hata kidogo bila kujali ex wake ni simba sijui nan nan sijui, atachagua moja tu(akakae nae au tuiheshimu ndoa)
 
Hata kama ndoa ina siku moja, akiniambia hayo Maneno baada ya kumkataza ndo utakuwa mwisho Wa ndoa hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom