Mimi siwalaumu wao kula bata. Nadhani hii iko ndani yetu kama asili. Tatizo ni unakula bata kwa kutafuta na kutumia akili yako? Umeitumikia nafasi yako ipanavyopaswa. Kwa rasilimali zilizopo Africa kiongozi anaejilewa anaweza kula bata na maisha ya waafrika wenzake bado yakawa mazuri. Kwa pamoja...
Anaekuchukia wewe kwa kua na uthubutu wa kusema mawazo yako inapaswa ajichukie yeye kwanza. Una jeuri (sorry kwakutumia neno hili) na uthubutu kamili usio na shaka kwenye kile unachoamini. Endelea kua wewe, anaechukia uandikacho ni ana matatizo.
Hilo halihitaji ushauri, kwa sababu ni uamuzi wako baada ya kupima faida na hasara zake. Ila pia ninaomba kukushauri nje ya hilo.
Nimesoma hapo juu kua hivi karibuni unaanza kusoma elimu ya juu. Ushauri wangu kwako sasa ni " anza kujitahidi kuandika vitu katika mpangilio mzuri na herufi pia...
Bado tunahangaika na gaidi asie na silaha nchini kwetu. Olympic tutaendacrukiwa tayaricnacamami ndani ya nchi. Kwa sasa acha tupambane na ugaidi kwanza
Kama nusu ya wanawake hawafai kuolewa, je kiasi gani cha wanaume wanafaa kuoa? Nadhani pia ndoa ziendane na majira na nyakati. Katika hili isiangaliwe jinsia I la iangaliwe ndoa yenyewe
Nakushauri kabla ya kurudia mitihani ya kidato cha nne fanyia kazi uandishi wako, kama kweli una nia. Ila tofauti na hapo jishughulishe na mambo mengine.
Amekuambia chukua vitu vyako uondoke. Sasa tatizo Ni nini? Tafuta chumba kimoja kaishi huko. Una angalau vya kuanzia. 140 si tatizo tatizo Ni uoga wako. Wewe mwenyewe umekiri hamna future. Sasa wataka kubaki kufanya nini. Kwa nini uteseke kwa mawili wakati unaweza kupunguza moja. Ondoka na uwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.