BADO MMOJA
JF-Expert Member
- Jul 19, 2012
- 2,195
- 1,351
Ni kweli kabisa Mungu ni wa ishara na maajabu kama huwezi kujua au kutambua signal anazokupa utaingia kwenye majanga bila kujua na ukaangamia na ndiyo maana kuna ndoto waliota Manabii kuwaonya waliokusudiwa kuonywa na kupewa tahadhali na hilo lilikuwa onyo ndoa iahirishwe azikwe mama kwanza kisha mengine yaendeleeMungu ni roho. Huanza rohoni then hujidhihirisha mwilini.
Haimaanish ndoa haitodumu.