GRAMAA
JF-Expert Member
- Nov 1, 2014
- 1,155
- 3,399
Nimepigiwa simu kuwa aliyekuwa mke wangu(mama Agness) amepata ajali mbaya ya pikipiki maeneo ya Mtoni Mtongani, kwa Buruda. Ajali hiyo imepelekea kifo chake na jamaa yake hapohapo. Kwani jamaa ndiyo alikuwa dereva wa pikipiki hiyo.
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!
Daah huu mwaka umeniijia vibaya sana sana sana mpaka sielewi juu ya haya matukio yanayonitokea kuhusu mama Agness maana yamefuatana sana.
Dunia dunia dunia ni sehemu mbaya sana kwangu.
Raha ya milele umpe ewe bwana.....
Pumzika kwa amani mama Agness.
Soma Nasikitika kusema, baada ya miaka 13 kwenye ndoa leo mimi na mke wangu tumetalakiana
Pia soma Mama Agness nimempa talaka juzi tu leo kaja kuishi jirani yangu na mwanaume mwingine!