Mlatino Zeshalo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,016
- 3,462
We ulishawahi kuumia? Au maumivu ya msiba unayajua? Acha maigizoUnampangia mtu namna ya kuumia? Kama faraja yake ni kuandika jf anakua amekosea? Kila mtu ana namna yake ya kuyapokea maumivu