Kipindi cha kikwete tulobahatika kwenda kipind kile ,,nauli na kila gharama ulotumia kumpeleka kijana wako inarudishwa plus maposho na nauli za kurudia tulipewa..Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za Kata.
Najiuliza taabu yote hii ya nini kwa wazazi? Kwani JKT ina umuhimu gani WA LAZIMA kwa maisha binafsi ya mtoto na mzazi?
Kama serikali haina hela ya kuwagharamia watoto, mzazi anazipata wapi?
Kama serikali haina hela za kuwaweka watoto makambini waache mpango huo wa kuwapeleka JKT. Wasiumize watoto na wazazi kwa mambo ambayo si lazima sana katika maisha yao.
Bado kuna watoto wanahitaji hiyo JKT, wawaache hao waende maana wana uhitaji na hiyo JKT
Pole sana. Mimi niko kwenye mtanziko huo. Nimetumia jana laki 2 kununua vifaa, tena kwa kubana kweli kweli. Bado nauli. Naumia kweli maana hela haipo.
Jiwe ni laana, wacha aende zake, laaniwe Jiwe na wapambe wake.
Form six mwaka huu wanaenda JKT?Pole sana. Mimi niko kwenye mtanziko huo. Nimetumia jana laki 2 kununua vifaa, tena kwa kubana kweli kweli. Bado nauli. Naumia kweli maana hela haipo.
Jiwe ni laana, wacha aende zake, laaniwe Jiwe na wapambe wake.
Hata Mimi nilitaka kumuuliza.Upumbavu!
Jiwe ndo alianzisha JKT?
Mkuu hili jina lako ulitoa wapi!? Au una maana gani? NYEKUNDU YA BIBI 😳🤪🦽🦽
Hata kama una kipato kiasi gani hupaswi kutoa maneno ya namna hii. Naomba katafute mwalimu wa busaraKama mzazi ni masikini kwa nini alizaa watoto. Ukijiona masikini usiache kiumbe duniani ishi mwenyewe ujitafutie mwenyewe chakula basi.
Mkuu, hebu rudia kusoma ulichoandika.Kama mzazi ni masikini kwa nini alizaa watoto. Ukijiona masikini usiache kiumbe duniani ishi mwenyewe ujitafutie mwenyewe chakula basi.
Jk aliimudu vizuri ikiwemo bajeti ya chakula >sh 8000 compare to JPM 4500 na nguo za mazoezi na nauliJiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.
Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.
Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Mmh kumbe JKT ilianza enzi za jiwe aiseee
come on, tunasema kujigharamia mahitaji ya kwenda JKT, take creHata Mimi nilitaka kumuuliza.
Nakumbuka MWAKA 2014 Kuna mzazi Kijiji Fulani aliuza shamba ili kijana wake aende jkt.
Sasa sijui MWAKA huu jiwe alikuwa madarakani!!!
.Upumbavu!
Jiwe ndo alianzisha JKT?
Wazo mfu. Bora usingechangiaJKT ipo kabla ya hilo unaloliita Jiwe, itoshe tu kusema umenajisi hoja yako.
Faida za JKT kwa ex-form SIX, ni pamoja na kukoma kwa migomo ya Vyuo Vikuu nchini TZ.
Rubbish!Mkuu mbona uchangizi kwenye ujenzi wa ofisi za kanda za CHADEMA hujalalamikia?
Huyu hjanielewa. Nasema kujigharamia kwenda JKT kumeanza wakati wa Jiwe, I guess maana hatukuwa na utaratibu wa kijigharamiaWazo mfu. Bora usingechangia
Enzo za JK serikali iligharamia kila kitu, hadi nauli ya kwenda hit ilirudishwa. Kwa sasa gharana zote ni jukumu la mzaziJiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.
Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.
Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Wakati wa kikwetr gharama zilikuwa chini ya serikali na vijana wengi waliosoma sayansi walipata ajira jwtz now ni maafisa jeshini.Jiwe aliendeleza. Program hii ilirejeshwa enzi za JK ikiitwa oparesheni Kikwete.
Akina Z.Kabwe, H.Mdee na wengine walihudhuria mafunzo hayo pia.
Kwenye lawama hii usimwondoe JK tafadhali.
Kwani mnalazimishwa? Na asipoenda inakuaje?Nimetafakari gharama wanazoziingia wazazi kuwapeleka watoto ex form six JKT. Ni kubwa na mzigo usio na sababu ya msingi kwa wazazi masikini. Si chini ya laki mbili (200,000 Ths) kwa uchache. Hizi ni hela nyingi kwa mzazi wa vipato vya chini huko vijijini anaye-strugle kupata ada ya shule za Kata.
Najiuliza taabu yote hii ya nini kwa wazazi? Kwani JKT ina umuhimu gani WA LAZIMA kwa maisha binafsi ya mtoto na mzazi?
Kama serikali haina hela ya kuwagharamia watoto, mzazi anazipata wapi?
Kama serikali haina hela za kuwaweka watoto makambini waache mpango huo wa kuwapeleka JKT. Wasiumize watoto na wazazi kwa mambo ambayo si lazima sana katika maisha yao.
Bado kuna watoto wanahitaji hiyo JKT, wawaache hao waende maana wana uhitaji na hiyo JKT