swahibu ramadhani
Member
- Apr 30, 2021
- 49
- 28
Habari za leo,
Kama nilivyoelezea hapo juu, nahitaji ushauri wenu. Mimi nimaliza shule Mwaka 2019 lakini matokeo yalikuja mabaya, yaani nilifeli hivyo lengo langu lakutaka kurudia mtihani Mimi shida yangu nataka nifanyie vizuri kabisa.
Naombeni ushilikiano.
Kama nilivyoelezea hapo juu, nahitaji ushauri wenu. Mimi nimaliza shule Mwaka 2019 lakini matokeo yalikuja mabaya, yaani nilifeli hivyo lengo langu lakutaka kurudia mtihani Mimi shida yangu nataka nifanyie vizuri kabisa.
Naombeni ushilikiano.