Kweli kuna kipindi Sinta alikuwa maarufu kwenye vyombo vya habari! Lakini alipoturia nadhani hata vijana waliozaliwa juzi hawamtambui kabisa kama kuna Star wa filamu alikuwa anaitwa Sinta!
Ila msimamizi wa mashine ya kusaga yupo makini zile ambazo si nzuri kwa kuliwa na binadamu anakataa kuwauzia ingawa wao wanabembeleza awauzie! Nadhani TFDA inabidi itembelee maeneo ya uzalishaji chakula na kuwashauri wananchi.
Leo nilienda maeneo ya ILULA-MAGU, MWANZA kununua pumba za Mahindi kwa ajili ya Mbwa na Bata nilikuta kwenye mashine ya kukoboa na kusaga Unga wananchi wananunua pumba za mahindi alafu wanazisaga kuwa Unga wa kupika Ugali. Pumba kisado kimoja TShs 1,500 na debe moja la pumba TShs 5,000 . Sado...
Alipewa cheo cha General miaka ya utawala wa Mkapa kamasikosei akiwa amerudi kutoka ubarozi .Nigeria. Kwa taarifa alikuwa bado kustaafu jeshini ndiyo maana ikabidi apewe na U-General?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.