Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwa anayeelewa baada ya kustaafu Lt Gen Gahhu tarehe 01Jul 2006 nani aliteuliwa kuwa CoStaff kama siyo Mwamnyange wakati huo akitokea JKT na Lt Gen Shimbo akateuliwa kuwa mkuu wa JKT Gen Waitara alipostaafu 2007 Gen Mwamnyange akapandishwa cheo na kupewa madaraka ya CDF kama sijkosea ndivyo ilivyokuwa kwa wanaofahamu zaidi wanieleweshe
Kama sikosea alikuwa anaitwa Iddi Gahhu, wako Gahhu wawili wote ni ndugu na kama sikosei walifikia cheo kimoja.
 
Hapana ni hivi
Brigadier Gen =1 star
Major Gen= 2 Stars
Lt Gen= 3 stars
General= 4 stars.

Na sifikiri kama kuna jeshi duniani lenye 5 star general.
Zipo...US, UK, Poland, India, Pakistan, Italia, Indonesia, Croatia, Hispania, Australia na Brazil ni baadhi ya nchi zenye rank za kijeshi za nyota 5..NATO wanaita OF-10.

5 star general anaweza kuwa General of the Army, Admiral of the Fleet, Fiels Marshal, Marshal/General of the Air force, Navy na Infantry...
 
Unoko ni nini?

Nimeuanzaje?

Kwani uongo yaani Muumin wa kiislam ni mmoja tu?
Hata kama asingekuwepo, kwani hii ni nchi yakiisalamu? Punguza chuki zako kwa uislamu na waislamu. Huu si uungwana. Una provoke ili iweje? Nia yako si njema. Uislamu huwezi kuufanya lolote, uache tu, wewe fanya yako. Si lazima kila sehemu unaleta uchokozi
 
Jeshini unapokuwa Retired unaenda kuwa Reservist(haswa kwa CO(kamisheni). Kwahio Amiri jeshi ana uwezo wa kuactivate kutoka Reservist Unakua active anampa cheo halafu anamstaafisha. Sio sarakikya pekee aliyepewa cheo baada ya kustaafu wako kadhaa
Hapo sawa ...nimekupata Mkuu
 
Labda mmoja ya hawa
1. Luteni Jenerali Venance S.Mabeyo
2. Meja Jenerali William W. Isamuhyo
3 .Meja Jenerali Geogre Ingram
4. Meja Jenerali Yakub Sirakwi
5. Meja Jenerali James Mwakibolwa
No.2 kama hutaki[emoji15] [emoji15]
 
Zipo...US, UK, Poland, India, Pakistan, Italia, Indonesia, Croatia, Hispania, Australia na Brazil ni baadhi ya nchi zenye rank za kijeshi za nyota 5..NATO wanaita OF-10.

5 star general anaweza kuwa General of the Army, Admiral of the Fleet, Fiels Marshal, Marshal/General of the Air force, Navy na Infantry...

Unajua watu mnachanganya haya mambo mkuu. Twende taratibu naomba unitajie jina la 5star General Marekani na anatoka kikosi gani. Halafu unitajie na rank ya Chairman Joint Chief of Staffs utaelewa mkanganyiko unatokea wapi
 
Mhhh..acha kuleta udini hapa kama hao unaowataka hawana sifa unataka wapewe tuuu rais aliyemchagua mwamunyange alikuwa muislamu why asingemchagua yeye wanaenda kwa vigezo
Vannessa huyo si muislamu na comment zake juu ya waislamu na uislamu humu zinajulikana. Huyo yupo kwa yesu ila chuki zake zimepita kikomo. Hawezi kujizuia hata kidogo. Muda wote anataka kuleta vurugu hata sehemu isiyo husika. Hapa waislamu wanaingiaje na hawajawahi kusema chochote.

Huu si uungwana,
 
Kumbukumbu zangu zinaniambia Mirisho Sarakyika hakufikia cheo cha Gen ila alikuwa mkuu wa majeshi
Alipewa cheo cha General miaka ya utawala wa Mkapa kamasikosei akiwa amerudi kutoka ubarozi .Nigeria. Kwa taarifa alikuwa bado kustaafu jeshini ndiyo maana ikabidi apewe na U-General?
 
Hivi full General ni 4 Stars Bongo? AFAIK, Bongo hatuna Army General na hivyo CDF ndiye Ful General.
Kwa maana Hiyo CDF Davis ni 5 Star General. 4 Star General kwa Bongo nijuavyo ni Lt. General.
5* general kwa bongo hakuna, kwa Trump yuko na ni preserved during war time.
 
Hata kama asingekuwepo, kwani hii ni nchi yakiisalamu? Punguza chuki zako kwa uislamu na waislamu. Huu si uungwana. Una provoke ili iweje? Nia yako si njema. Uislamu huwezi kuufanya lolote, uache tu, wewe fanya yako. Si lazima kila sehemu unaleta uchokozi
Sawa chief nimekuelewa
 
Yaani tangu jeshi lianzishwe ni MUISLAM mmoja tu ndiye aliyewahi kuwa mkuu wa majeshi huyo Abdalla Twalipo?

Wengine woote ni wagalatia

This is Unfair.
Magaidi wapewe nchi?
 
Apo atamteua msukuma mwenzake Venance Mabeyo
Kwa nini unakimbilia kwenye ukabila?..

Swali ni je, Lt. Jen Mabeyo hana sifa za kuwa CDF?...Yeye ndiye 2nd in Command wa TPDF kwa hiyo asiteuliwe kisa ni Msukuma?..

Kumbuka hata Jen. Davis Mwamunyange alikuwa CO General Staff chini ya Utawala wa Jen. George Waitara Marwa...Baada ya Waitara kustaafu Mwamunyange akateuliwa kuwa CDF..

So lolote linawezekana (bila kujali ukabila)..Hata Major Generals Isamuhyo, Sirakwi, Ingram au Mwakibolwa mmoja wao anaweza kuteuliwa kuwa CDF..

Hata Gen (rtd) GEORGE WAITARA MARWA aliteuliwa kuwa CDF akiwa na cheo cha Major General akiwa ubalozini India kama mwambata wa kijeshi na Lt. Gen. GIDEON SAYORE aliachwa kuendelea na wadhifa wake wa CO. General Staff.
 
Acha kuongea pumba akiwa muislam itasaidia nini hasa??
Mna mawazo finyu ndo mana Bilionea Trump anawanyoosha tu.
Hilo lakuukashifu uislamu na kuona waislamu wanataukwana ndio lengo hasa la propaganda zake. Huyu si katika waislamu. Sasa akiona akina Stanley wanakuja juu na kuonyesha jazba zao na kuporomosha maneno ya kashfa ndio lengo lake. Hapo amefurahi sana.

Jamaa si Muislamu ila anapenda vurugu zakidini
 
Back
Top Bottom