Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

Kwaheri Jenerali Davis Mwamunyange

I like this man, I like him so much,
I like him.
upload_2017-1-31_14-11-1.jpeg
 
Huyo mama sio muislamu, anajaribu kuvuta hisia za watu ili watu wachangie nje ya mada. Waislamu hawajalalamika nashangaa yeye anaanza uchokozi
mpuuzi tu, anafikiri wanaokaa jopo la usalama wa nchi wanakaa kujadili mitume na manabii wa dini
 
Magaidi wapewe nchi?
Hapo amefurahi sana kuwaita waislamu magaidi. Ni moja wa wanamtandao wanaoongiza kuupiga vita uislamu. Kilicho kibaya nikule kuleta chuki zake hata sehemu zisizo husika.

Yeye si muislamu ila anajaribu kuuvuruga mjadala uende kidini zaidi. Mbona anajulikana sana. Huu si uungwana kila siku kuomba nyimbo za fitna na chuki. Likianguka hakuna atakae simama. Amefurahi sana kwa comment yako na anatamani ungeongeza japo moja anyanyuke aende akajisaidie na kicheko juu.
 
Unajua watu mnachanganya haya mambo mkuu. Twende taratibu naomba unitajie jina la 5star General Marekani na anatoka kikosi gani. Halafu unitajie na rank ya Chairman Joint Chief of Staffs utaelewa mkanganyiko unatokea wapi
Nadhani sote hatujaelewana...Ngoja niweke sawa..

Currently hakuna nchi yenye 5 star General..Ila kuna nchi (nilizozitaja hapo juu na nyingine) zimewahi kuwa na mfumo huu wa t star Generals...US waliufuta mwaka 1981 na ni wamarekani 9 tu wamewahi kuwa na rank hiyo...

Kwa sasa nchi nyingi zina 4 star Generals..
 
Sasa mfuasi wa Abuu sufian unaanza eeh!
Si lazima uonyeshe chuki zako kila mahala. Kwani nani asiyekujua? Waislamu hawata lalamika kuwa kachaguliwa asiyekuwa muislamu. Uchokozi haufai.

Wapo wengine humu wanaashiria kuwa huenda jamaa akamchagua mtu wa kwao, huu ni ukabila, ukemee basi kwa leo ili kesho uanzishe mada zinazowahusu waislamu.
 
Hilo lakuukashifu uislamu na kuona waislamu wanataukwana ndio lengo hasa la propaganda zake. Huyu si katika waislamu. Sasa akiona akina Stanley wanakuja juu na kuonyesha jazba zao na kuporomosha maneno ya kashfa ndio lengo lake. Hapo amefurahi sana.

Jamaa si Muislamu ila anapenda vurugu zakidini
Na mimi sio muislam wala mkristo..inshort im against religions....
Mana zinawafanya watu wanakua na mental slavery....
utumwa wa fikra...huu ni utumwa mbaya sana...kama ulivyo umaskini wa fikra.
Cha msingi watu waishi ktk misingi ya right n wrong...
Mambo ya kusema eti safari hii lazima aee muislam o mkristo sioni tija yoyote kwa taifa..
Awekwe mtu competent regardless of his religion.
 
Nadhani sote hatujaelewana...Ngoja niweke sawa..

Currently hakuna nchi yenye 5 star General..Ila kuna nchi (nilizozitaja hapo juu na nyingine) zimewahi kuwa na mfumo huu wa t star Generals...US waliufuta mwaka 1981 na ni wamarekani 9 tu wamewahi kuwa na rank hiyo...

Kwa sasa nchi nyingi zina 4 star Generals..

Okey nimekuelewa sasa. Kwakua na mimi nilikua naongelea zaidi katika hizi modern conventional millitaries. Kuanzia baada ya ww2(wakati wa cold war) kumefanyika marekebisho makubwa ya historia na muundo wa kijeshi duniani.

Na kwa sasa ni almost majeshi yote yako sawa kimuundo
 
Yaani tangu jeshi lianzishwe ni MUISLAM mmoja tu ndiye aliyewahi kuwa mkuu wa majeshi huyo Abdalla Twalipo?

Wengine woote ni wagalatia

This is Unfair.
na makamu wa rais wa JMT wamekua waislaam all the time.. but we never ask why!!!
 
Bri


Brig Gen-1 star
Maj Gen-2 Star
Lt Gen-3 star
General -4 stars

Huo ndo mfumo dunia nzima. Tofauti ni majukumu na majina tu. Na pia mlinganyo uliopo kati ya Land Forces(wengine wanaiita army??), Air Force na Navy

Katika literature nyingi wanasema mtu pekee aliyekuwa 5 stars General ni G. Washington(naye nadhani alipewa kwa heshima posthumously kama sikosei)
Marekan wana 5 stars wew ndo cheo cha mwisho wanamuita general of the amry kule command zinaongozwa na general. Halafu GA ndo mkuu wa majeshi yote mjifunze hata ku google
 
Back
Top Bottom