selebravekid
Member
- Apr 22, 2014
- 13
- 5
Ni nakshi tu.
Hiyo peni ni yangu !
Mkuu kimya...au upo Dubai tayari unajipongeza hahahaaaa
Asante kwa picha, then kwanini ukaivunja mkuu??
Mkuu hizo ni diamond?Pole Sana bwanakaka. Hizo sio diamonds mara nyingi huwa wanaweka synthetics au glasses zinazochongwa na kufananishwa na hayo madini. Wanaweza kuweka Zircon Kama wakitaka kurembesha zaidi. Sikatai kwamba kuna pen ambazo huwekewa real diamonds lakini sio kwa style hii ya kuzimimina tu. Mara nyingi huwa wanazi set kwenye kinasio cha kalamu kwenye mfuko ili kionekane.
Hata hivyo fanya kipimo kidogo tu
1.weka maji kwenye kiganja chako
2.weka hicho kipande uhakikishe kimezama
3.angalia Kama bado Kina glitter au kung'aa hata baada ya kuingiza majini
4.kama kitaendelea kung'aa basi ni pm
5.kikifubaa basi sio diamond
Yeah ni zaukweli ziko rough lakini. Hazijakatwa na ku polishiwaMkuu hizo ni diamond?
Aiseeeee Hapana mkuu sio zaukweli. Very sorry sikuiona attachment yako. Jaribu ku test Kama nilivyoiona comment hapo awali. Pamoja na hayo jitahidi kuwaona ma ofisa madini wako wajemolojia watakusaidia. Hizo kwenye picha ni synthetics au Madini fulani yanaitwa topaz. You better be careful with this businessY
Yeah ni zaukweli ziko rough lakini. Hazijakatwa na ku polishiwa