Hii ndio Bei ya unga wa sembe na dona nilipo

Hii ndio Bei ya unga wa sembe na dona nilipo

Unga wa Mahindi kwa sasa DSM ni Elf 1600 kwa ..Kilo MOJA
 
Habari wanajanvi!
Leo asubuhi nilienda kwenye duka la Mangi mtaani kwetu kununua sukari nikajiandalie kachai kangu ka asubuhi,ndipo Mangi akanambia kwamba hana sukari anajishauri kwanza kabla ya kufata mzigo, kutokana na hiyo bidhaa kwa sasa kupanda bei huko wanakonunua japo hajaniambia kwa kiasi gani imepanda,kwa kuongezea akasema pia na unga umepanda bei kwahiyo tutegemee bei mpya ya hizo bidhaa.Hakika sasa maisha yatazidi kukaza na inaonyesha serikali imeshindwa kabisa kutatua suala la sukari.
Hivi una akili kweli wewe? hili nalo linahitaji kuwa ni tetesi? Hivi umeshindwa kujua hata bei ya sukari na unga kwa sasa mpaka uandike tetesi?
 
Habari wanajanvi!
Leo asubuhi nilienda kwenye duka la Mangi mtaani kwetu kununua sukari nikajiandalie kachai kangu ka asubuhi,ndipo Mangi akanambia kwamba hana sukari anajishauri kwanza kabla ya kufata mzigo, kutokana na hiyo bidhaa kwa sasa kupanda bei huko wanakonunua japo hajaniambia kwa kiasi gani imepanda,kwa kuongezea akasema pia na unga umepanda bei kwahiyo tutegemee bei mpya ya hizo bidhaa.Hakika sasa maisha yatazidi kukaza na inaonyesha serikali imeshindwa kabisa kutatua suala la sukari.
uchochezi!
subiri kuitwa kituo cha kati kwa mahojiano!
 
wadau juzi nilienda kijijini kwetu huko nyanda za juu kusini, hali niliyo ikuta ya chakula sio ya kutangaza janga la njaa wenyeji akiba yao ya mahindi imeisha UNGA bei sh:1900 pesa hawana, na akiba yao ya chakula kwao ni embe tu, nazo sasa zimeanza kuisha, sijui na nyinyi wana jf, hali ya chakula ikoje?
 
Kama ni kweli!! hawajui wanachokula ni sumu?
Ila msimamizi wa mashine ya kusaga yupo makini zile ambazo si nzuri kwa kuliwa na binadamu anakataa kuwauzia ingawa wao wanabembeleza awauzie! Nadhani TFDA inabidi itembelee maeneo ya uzalishaji chakula na kuwashauri wananchi.
 
Sio utani hali inazidi kua ngumu aisee
Hata nyanya nazo zimepanda bei Mara mbili
Siku chache kama wiki mbili zilizopita tulinunua kilo 1 ya nyanya kwa 800 TZS
Sasa nyanya kilo 1 ni 1500TZS.

Mchele kuanzia 1800TZS hiyo ni low quality
Quality ni kuanzia 2000TZS/kg

Hizi gharama Mimi binafsi nazimudu ila Tanzania siishi Mimi peke yangu, kuna wenzangu pia ambao hata hiyo gharama hawaiwezi.

Magufuli hii dhambi ya kupambana na maskini ipo siku utaulizwa na Mungu, usidhani unawakomoa wapinzani
 
hapa irnga mjin sembe kilo 1800 sukar kilo 2500 leo hii
 
Kumbe bado bei rahisi sana lengo la ng'ombe watatu kwa debe/gunia halijafikiwa ushaanza kulalamika
[emoji202] [emoji202] [emoji202] [emoji535] [emoji535] magunia yaliyo jaa mahind bila kupekechuliwa ama kupekechuliwa ,
Ila naona ni utani tuu si kweli
 
[emoji202] [emoji202] [emoji202] [emoji535] [emoji535] magunia yaliyo jaa mahind bila kupekechuliwa ama kupekechuliwa ,
Ila naona ni utani tuu si kweli
Mkulu hakufafanua itabidi tukamuulize
 
ulizia kalya, karema sibwesa na huko kirando mashamba ya mpunga yapo kwa kiwango gani

nasema ulizia kwa wanaojua, then tukana tena,
Mkuu maeneo hayo mwaka huu yanaweza kuwa tete tokana upungufu wa mvua kwani tegemeo ni mvua na sio umwagiliaji
 
Aliposababisha bei ya sukari kupanda tulipiga kelele mwisho tukanyamaza.
Hili halitamsumbua Yule mwenye kujali wanyonge anajua siku mbil tuu mta shut up
 
Mahindi gharama.....sukari gharama..... Condom bure.....

hivi serikali inafikiri sisi nguvu tunazitoa wap sasa Kwa mfano??
 
Back
Top Bottom