we mkurya wa wapi?
Watu wanapaza sauti za ukombozi na sio kelele.
Wewe unataka kusema ndo wanaopga makelele?leta hoja humu,sio kwa vile nyangine(bosi wako) mwoga wa kutetea wananchi nawe unaleta sera zako za uwoga humu.
Nakushauri ukaondoe kathread kako!!
<br />
<br />
Daah! Sasa nikauelezeje my moyo?
Bahati ya kukukosa si bahati,hope u knw ni gundu.
Bt mungu ataniletea tu,ukiachika nitakuwa tayari ku play your hubby part.
Natanguliza thenx.
wanaovaa makoti meupe wote sio madokta,
Wengine ni wauza nyama.
Ff mzee kama anamiaka thelasini ktk ndoa na kama aliolewa na miaka20 inamana ana miaka50.
Ushauri:punguza majungu na ulee wajukuu zako.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.