Simpendi Dada Yangu!

inaonekana una tatizo mkuu wangu...kwa jinsi ulivyoeleza hapo juu unaonekana wewe uko katika kundi la watu wenye tabia ya melanchoric-phlegimatic... watu wenye tabia hii tatizo lao kubwa ni uoga, kuchukia pasipo sababu,kutopenda,kutojiami,hawezi kuanziasha jambo kwa hofu ya kuchekwa au kukosolewa, kuchukia wenzi wao.......so mkuu kama hakuna tatizo kati yako wewe na dada yako na dada yako hajakufanyia jambo baya huko siku za nyuma basi tatizo liko kwako......ni heri ungekuwa phegmatic-melanchoric ingekuwa kinyume cha hayo niliyoeleza hapo juu.....na mbaya zaidi kama ungekuwa pure melanchoric ugepata tabu sana....

kama hakuna tatizo mlilofanyiana wewe na dada yako basi tatizo ni lako mkuu wangu....jinsi ya kujinasua katika hilo taratibu unatakiwa kujenga tabia ya kuwa associate na wenzako.....jalibu kundoa mitizamo hasi kichwani mwako hasa juu ya dada yako....jifunze kuongea kiwaz na kama una jambo usikae nalo moyoni..we liseme....acha uoga...ondoa hiyo agora phobia uliyo nayo hapo utakuwa salama na ndiyo inakufanya ukimuona dada yako mbele yako hapo hapo unaanza kujiminya ndani na kuanza kutafuta upenyo .......

kama una swali uliza
 
inaonekana una tatizo mkuu wangu...kwa jinsi ulivyoeleza hapo juu unaonekana wewe uko katika kundi la watu wenye tabia ya <b>melanchoric-phlegimatic</b>... watu wenye tabia hii tatizo lao kubwa ni uoga, kuchukia pasipo sababu,kutopenda,kutojiami,hawezi kuanziasha jambo kwa hofu ya kuchekwa au kukosolewa, kuchukia wenzi wao.......so mkuu kama hakuna tatizo kati yako wewe na dada yako na dada yako hajakufanyia jambo baya huko siku za nyuma basi tatizo liko kwako......ni heri ungekuwa <b>phegmatic-melanchoric </b>ingekuwa kinyume cha hayo niliyoeleza hapo juu.....na mbaya zaidi kama ungekuwa pure melanchoric ugepata tabu sana....<br />
<br />
kama hakuna tatizo mlilofanyiana wewe na dada yako basi tatizo ni lako mkuu wangu....jinsi ya kujinasua katika hilo taratibu unatakiwa kujenga tabia ya kuwa associate na wenzako.....jalibu kundoa mitizamo hasi kichwani mwako hasa juu ya dada yako....jifunze kuongea kiwaz na kama una jambo usikae nalo moyoni..we liseme....acha uoga...ondoa hiyo <b>agora phobia </b>uliyo nayo hapo utakuwa salama na ndiyo inakufanya ukimuona dada yako mbele yako hapo hapo unaanza kujiminya ndani na kuanza kutafuta upenyo .......<br />
<br />
kama una swali uliza
Asante sana mkuu kwa kunielewa na pia ushauri wako uliotulia.
 
Nafikiri huyo dada yako atakuwa mwanga,si unajua tena mambo ya lyamba la mfipa!cha msingi ni kujiepusha naye tu!!
 
Katavi sijui mko wangapi katika familia... lakini ni dhahiri kitendo chakua ni last born tena Mvulana ni kitu ambacho wazazi wako walifurahia mno ulipopatikana/zaliwa maana ukute walisha kata tamaa ya kua na mtoto wa kiume... Sijajua umepishana umri gani na dadako (hio ingetoa picha kamili ya hali halisi ) Ila kitu ambacho nimekisoma mimi ni kua kuna uwezekano mkubwa saaana kua wazazi wanakupenda wewe most (ni last born na the only boy) to the extent kua wanakudekeza kupita maelezo. Hilo suala husababisha dada yako kua mlezi mzuri kwako kuliko hata wazazi, Yawezekana yeye ndie uhakikisha uko katika mstari, kukujenga na kukuelekeza mienendo ya maisha, kukukemea ukikosea n.k - Kwa ufupi Yaani yeye ndie kachukua nafasi ya malezi bora - yoote yale ambayo mzazi anafanyia wanawe (na ndio maaana watoto wengi huchukia wazazi maana huona kama wanaonewa ama kukabwa - mpaka awe mkubwa na akili timamu ndio anajua kua ah! kumbe wazazi had best interest in me) Hivo hiyo chuki ambayo ingelenga wazazi ipo kwa dada ambae anafanya mambo dhidi yako out of LOVE.<br />
<br />
<u>What to do</u> Ni vizuri saaana kua umetambua kua wamchukia.... pamoja na kusema haipendezi. Hivo hio ni first stage, stage inayo fuata hapo ni wewe kujiuliza (free of emotions - yaani logicaly) ni vitu gani hasa akifanya dadako ndio huongeza chuki! Ukipata jibu hapo utajua kua je una haki ama una haki... na ni muhimu kua uliangalie hili suala vizuri saaana. Na toka maelezo yako ni dhahiri dada akutesi wala kukunyanyasa - maana lazima katika maelezo ungegusia kua anafanya hivo. Hivo Katavi, tumia busara urudi katika mstari na utafakari upya chuki yako.<br />
<br />
N:B Nimekutana sana nawe jamvin, you are one of the most peaciful JF member ninae mfahamu.... nimeshangaa saana kukuta una hii issue hivo kunifanya nijue kua kweli hili suala liko critical kwako. BEST OF LUCK.... katika Ku resolve.<br />
<br />
Pamoja Saaaana.<br />
<br />
ADI
Asante kwa ushauri Ashadii. Tupo wanne na huyo dada kanizidi miaka kumi.
 
Mkuu Katavi,

Tatizo katika maelezo yako ni kuwa au hulijui au kwa makusudi au bahati mbaya hutaki kulijua tatizo. It is unbecoming to just hate somebody, just like that? No. Siku zote kuna TATIZO na kutokana na TATIZO hili ndipo 'kumchukia' fulani kunapoanzia.

a) Wewe na dada yako mmepishana miaka mingapi? (Hii ni muhimu sababu kama mmepishana sana basi ina maana hata hamkuwahi kucheza pamoja, hampo that close)
b) Je, una-recall tukio lolote ambalo aidha wewe ulimfanyia hivyo kukufanya kujihisi guilty au yeye alikufanyia na hukupendezwa nalo?
c) Na huku kumchukia kumeanza abruptly just like that au kumekuwepo kwa muda mrefu?
d) Kwa kumchukia huku. Je, kunakufanya ujisikie afadhali au kunakuumiza na wewe pia na unatamani labda ingekuwa tofauti?

Samahani nina maswali mengi kuliko majibu. Pia tunashea tatizo, mimi ninao wengi na siwapendi ila siwachukii!
 
jambo la kawaida,
Hata mimi haziivi
Yani ni kawaida Katavi.

Ila hua ckosi uhuru akiwepo sema mahusiano yangu na yake hayaivi sana.
 
Heshima wakuu, nikiwa mtoto wa mwisho na mvulana pekee katika familia hii nimekuwa sina mahusiano mazuri na huyu dada yangu wa kwanza. Yeye hana matatizo nami, ila mimi nikiwa nae nakosa amani kabisa na ile hali ya kujiamini inapotea kabisa. Kifupi ni kuwa nitakuwa na amani na kujiamini zaidi nikiwa naongea na mzazi kuliko mbele ya huyu dada, na hii ndio inasababisha nimchukie na kumkwepa mara nyingi..... Hivi hii ni kawaida?? Naombeni ushauri katika hili..

Inawezekana wewe na yeye baba yenu sio mmoja hence damu haziendani therefore trace back and ask your mom the true dady for you and your sister.
 
Heshima wakuu, nikiwa mtoto wa mwisho na mvulana pekee katika familia hii nimekuwa sina mahusiano mazuri na huyu dada yangu wa kwanza. Yeye hana matatizo nami, ila mimi nikiwa nae nakosa amani kabisa na ile hali ya kujiamini inapotea kabisa. Kifupi ni kuwa nitakuwa na amani na kujiamini zaidi nikiwa naongea na mzazi kuliko mbele ya huyu dada, na hii ndio inasababisha nimchukie na kumkwepa mara nyingi..... Hivi hii ni kawaida?? Naombeni ushauri katika hili..
duh!una tatizo sio mchezo
 
<span style="font-family: comic sans ms">Mkuu Katavi,<br />
<br />
Tatizo katika maelezo yako ni kuwa au hulijui au kwa makusudi au bahati mbaya hutaki kulijua tatizo. It is unbecoming to just hate somebody, just like that? No. Siku zote kuna TATIZO na kutokana na TATIZO hili ndipo 'kumchukia' fulani kunapoanzia. <br />
<br />
a) Wewe na dada yako mmepishana miaka mingapi? (Hii ni muhimu sababu kama mmepishana sana basi ina maana hata hamkuwahi kucheza pamoja, hampo that close)<br />
b) Je, una-recall tukio lolote ambalo aidha wewe ulimfanyia hivyo kukufanya kujihisi guilty au yeye alikufanyia na hukupendezwa nalo?<br />
c) Na huku kumchukia kumeanza abruptly just like that au kumekuwepo kwa muda mrefu?<br />
d) Kwa kumchukia huku. Je, kunakufanya ujisikie afadhali au kunakuumiza na wewe pia na unatamani labda ingekuwa tofauti?<br />
<br />
Samahani nina maswali mengi kuliko majibu. Pia tunashea tatizo, mimi ninao wengi na siwapendi ila siwachukii!<br />
</span>
a)kanizidi miaka kumi b)hakuna tukio lolote alilonifanyia la kuchukiza zaidi ya adhabu ambazo alituadhibu enzi wadogo pale tulipoenda ndivyo sivyo. c)nadhani hii imeanza taratibu na zaidi tulipoanza kujitegemea, ule upendo kwa dada huyu umepungua sana tofauti na dada zangu wengine!
 
Inawezekana wewe na yeye baba yenu sio mmoja hence damu haziendani therefore trace back and ask your mom the true dady for you and your sister.
Bahati nzuri wote wanne tumemfanana baba yetu!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom