Angel Msoffe
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 6,781
- 1,639
Mungu ibariki chadema, wabariki viongozi wake, heshima,umoja na amani mungu ibariki chadema na watu wake tubariki wanachamatubariki wanachama wabariki wabunge wa chadema
Sina uahakika uliandika kama unafuatilia bunge kwa makini?au la unafuatilia kwa ushabiki.
kwa kifupi karibu wabunge wote wamekosa mvuto bungeni na ndio maana bunge la sasa linaitwa THE COMEDY ikiwa na maana hamna ya muhimu yanayozungumzwa.sijui kama umewahi kufatilia kwa upande wa wabunge wa chama tawala wakiongea hakuna mpinzani ukiingilia kati kwa kuomba mwongozo inakuwa shida ila mpinzani akiongea na mbunge wa chama tawala akiingilia kati kwa kuomba mwongozo hakuna shida.Ndio maana wabunge wa upinzani lazima walalamike kuwa wanaonewa na ni haki yao kulalamika sababu unaonekana waziwazi hata kwa sisi watazamaji.
Tubadilike hata kama tumeagizwa hivyo na chama kuwaminya wapinzani.
Sawa sikatai spika was wrong na hakutenda haki lkn kwanini wapige kelele makofi wanaongea bila mpangilio wanaharibu utaratibu wa Bunge!
Nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini Ovyoooooooooooooooooooo tena kamaTundu Lisu ndo nothing.
Unataka kusema umakini wa wabunge wa CCM ni kula hela zetu waziwazi na kutuacha maskini??Nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini Ovyoooooooooooooooooooo tena kamaTundu Lisu ndo nothing.
Nakuunga mkono 100% hasira za wananchi zimewajaa maovu wanayoyajua then wakiona jinsi ambavyo CCM inavyofilisi hii nchi kwa mipango bajeti za kijinga zisizomjali mwananchi lazima upate hasiraLet's focus the future taratibu watajifunza jinsi ya kuongea kwa mpangilio
Nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini Ovyoooooooooooooooooooo tena kamaTundu Lisu ndo nothing.
Nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini Ovyoooooooooooooooooooo tena kamaTundu Lisu ndo nothing.
Sawa sikatai spika was wrong na hakutenda haki lkn kwanini wapige kelele makofi wanaongea bila mpangilio wanaharibu utaratibu wa Bunge!
Kama kweli hawa wabunge wangekuwa na Busara walitakiwa wawaombe radhi wananchi waliowachagua kuingia bungeni.
Kwani wamejionyesha dhahiri ni watovu wa nidhamu kwa kuvunja kanuni za Bunge na kuleta dhihaki kiti cha Spika.
Waombeni radhi waliowachagua na kutubu kuwa hamtarudia tena makosa kama hayo.
Wabunge wa CDM wa kipindi hiki ni wingi wa Inzi tu, nakumbuka bunge la kipindi cha Dr Slaa, CDM walikuwa na wabunge wachache lakini wenye vision ya hali ya juu!
Hawa wa sasa ni Wahuni hawana nidhamu hata kidogo kama Lema na Lissu ni watu wa violence kila sehemu
nasikitishwa sana na tabia wanazoonyesha wabunge wa chadema ya utovu wa nidhamu kuongea wakati spika hajaruhusu, kupiga makofi pasipo sababu, kuongea kwenye mic wakati umekaa. Mmetumwa na wananchi kwenda kuwakilisha majimbo yenu sina tutafuta majina. Watu wazima lakini ovyoooooooooooooooooooo tena kamatundu lisu ndo nothing.