Tunakoenda siko sasa. Toka lini mtu akahangaika na kutangaza huduma za kitabibu wakati kuugua kuna usiri wake?
Mgonjwa huwa ni rahis sana kwake kupata sehem y kutibiwa hata km hutahangaika kujitangaza saaana utafikir unauza vileo. Khaaaa!!!! Dili zimezidi.
Wengn tushapita huko. Mdgo wang jivue gamba kiume,japo maumiv yake sio kidgo ila ni ya muda. Huyo mtaishia naye pabaya sana. Fumba macho kiume kwel kwel kaa pembeni. Jiweke tyr kuumia,ili maumiv yakianza usishangae. Wengi wamefel shule sabb y haya mambo. Zingatia.
Ocean road hapafai. Km ni ruhusa kuwa na hsptl binafc,poa. Ila sio ruhusa kuona ulikoajiriwa mambo yanakuw hovyo,wakat kule kwako kunakuw kutamu. Na kichwa ni kile kile,kuna makusudi hapo.
na huo ndio ukweli wanaoukimbia,ni wazi wanajua ila ni wavivu tu kuamua kufanya. Ziboreshwe shule za kina kayumba,hkn atakayeenda private. Ubishi tuhh,
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.