muhomakilo jr
JF-Expert Member
- Jul 28, 2013
- 15,912
- 14,887
Mkuu mchina ashaanza kuzingua?...
KabufaMfano wewe kwa lugha ya kikwako subwoofer ungeiitaje?
Mkuu Dalton kiukweli umenichekesha. Kwenye heading ulianza na "sober ufa" na mwisho ukamalizia kwa "sab ofa". Ungeendelea kukoleza maneno kwa kuchomekea maneno kama "ziba ufa", "zipu ofa", "saboofa" "sabuufa" n.k.
Mfano wewe kwa lugha ya kikwako subwoofer ungeiitaje?