Hamna kitu hapo, kwanini iwe majaribio na kwanini iwe kwa baadhi ya shule?
.....nilichokiona kuna shule zina sauti kuliko serikali....
Kwa mtazamo wangu sidhani kama hili swala la karo elekezi linawezekana......kwani tution fee itakuwa ndogo.....ila ukiangalia gharama za maradhi na chakula sidhani kama hapo kunaweza kuwa na mjadala!!!!
Katika shule zilizo bora....mtoto anakula milo minne!! Anapata matunda,maziwa nk.....
Maradhi mtoto analala chumba kimoja watoto wawili.....bafu zuri na choo cha maji safi.......kwa mazingira kama haya ni bora kumuambia mwenye shule afunge shule afanye biashara nyingine........kinyume na hapo naamini haitawezekana.
Serikali iachane na suala LA ada elekezi ya SHULE binafsi cha msingi iimarishe SHULE zake ziwe na kiwango safi madawati,mabweni,chakula kizuri,maabara,maktaba zenye vitabu,walimu wapewe mishahara na haki zao stahiki bila vikwazo hakuna mzazi au mlezi aache bure ampeleke mtoto private?tuache siasa ktk elimu na division za ajabu ajabu.Jemedari JPM hili kwako jepesi acha private watambe SHULE za serikali zikiwa bora private wataisoma namba