Recent content by Mtaunaki

  1. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania KERO Responded Songea: Hali ya Soko la Bombambili si salama, wakati wa mvua hali ni mbaya

    Daah Usimamizi wa soko uliangalie hili kwa makini, wasifanye masihara kwenye afya za Watanzania
  2. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Nifanyeje ili Niweze Kupata Usingizi!?

    Pole sana lakini nina imani mwisho wa hayo yote unakaribia, usiwaze sana, jipe muda wa kuenjoy hata kwa kufosi.
  3. Mtaunaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mwonekano wa nje wa Mwanamke hauna uhusiano na umbile lake la ndani

    Hahaha kucha duu[emoji16]
  4. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Speed ya halotel ni hatari saana

    Mimi natumia TTCL huwa inaandika B/s or K/s, tafsiri yake ni nin? Au mtandao upo low sanaa?
  5. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Hi, mimi mgeni nikaribisheni

    Karibu sana.
  6. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimejiunga

    Karibu sana.
  7. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Hodi wana jukwaa

    Karibu sana
  8. Mtaunaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kumuachisha mke wangu kazi. Naombeni ushauri katika hili

    Atumie mil 10 kuhonga ili abaki, na je kama mshahara wake ni laki 2-3, itamgharimu miaka mingapi kuifidia ile mil 10??
  9. Mtaunaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nataka kumuachisha mke wangu kazi. Naombeni ushauri katika hili

    Kama zipi?
  10. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Utambulisho

    Habarini wanaJF, mimi Nina wiki moja tangu nijiunge na JF, nilijisahau kujitambulisha, ninaitwa ABDALLAH MTAUNAKI. Naomba ushirikiano wenu.
  11. Mtaunaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri gani sahihi kupata mtoto?

    Hahahah
  12. Mtaunaki

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Umri gani sahihi kupata mtoto?

    Hongera kwa hatua nzuri ya kuwa na gari katka umri huwo, Mungu ameweka umri wa wew kuanza kupata mtoto kwa maana ya ukishabarehe tyari una uwezo was kupata mtoto. Lakini umri sahihi individually inategemeana na wew mwenyewe utayari wako upoje mfano uwezo wa kuhudumia lakin pia maamuzi binafsi.
  13. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa haki ya Mtuhumiwa wakati wa kukamatwa

    Habarini, Napenda kujua ni kwa namna gani mtuhumiwa anatakiwa kukamatwa kisheria? Na mkamataji ana wajibu wa kufanya nini kwanza kwa mtuhumiwa kabla ya kumkamata?
  14. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Mapokezi Ya FC Platinum: Hatimaye 'Wananchi' Waonyesha Uzalendo...!!!

    Endelea kuota mchana kweupee
  15. Mtaunaki

    JamiiForums Tanzania Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

    Bei ni sawa na buree
Back
Top Bottom