Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

Nauza Chumba + Vitu vyake Mwenge Mpakani

Mkuu uliza kwanza uelekezwe, usikariri!
Nimeanza Masters mwaka 2018,nimeishi Hostel 2018/19 na 2019/20 nilitarajia kumaliza chuo,(May 2020),sikumaliza (mambo ya covid)
Nikalazimika kupanga Chumba mwezi wa saba, na kununua hivyo vitu, sasa kinachofanya ushangae ni nini?

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app

Mkuu sijashangaa, nimekuwa interested!
 
Hiyo 380k ni kwa vitanda na hivyo vitu vitu, pamoja na kodi?

Kama ni hivyo nimefika bei, naongeza ifike 400k naweka nyumba ndogo hapo.
 
Mimi nataka kitanda na godoro tu nimpe dogo NIT pale,tsh ngapi??
 
Kashaulo bhana, wewe unaangalia ghetto la "msomi wa masters" tu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Tusiyakuze mambo, Masters haina uhusiano wowote na ghetto,karibu sana kwangu huko mkoani...[emoji41][emoji41]

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
Watoto wetu hawa wasamehe bure tu. Akili zao zinawatuma ukiwa na bachelor lazima umiliki mkonga, na ukiwa na Masters lazima ukae ghorofani hata kama Masters yenyewe unaichukulia Dar wakati makazi yako ni Kigoma
 
Naomba kufafanua kidogo hili tangazo, naona watu wengi wanakuja kuuliza/kuhitaji baadhi ya vitu Kati ya nilivyo-orodhesha hapa jukwaani!

Kwa hesabu rahisi ni kwamba, vyombo vyote kama nilivyo-orodhesha gharama zake ni 380,000/= (which is very cheap)

Na pango ya Chumba nililipia mpaka mwishoni mwa mwezi April, (kwa hiyo atakayenunua hivyo vyombo vyote ataongezea na gharama ya kodi kwa miezi 3) hivyo jumla ya vitu vyote + Kodi itakuwa 600,000/= Tu, ambapo mtu ukilipa hiyo pesa unakuwa umemiliki Chumba pamoja na vitu vyote vya ndani, na kodi utaanza kulipa tar.01/05/2021.

N.B BEI HAINA PUNGUZO, NI FIXED!


Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Siku hizi hostel zinatosheleza kwa vyuo vyote au mnasubiri semester ziishe ndo muanze kutafuta vyumba?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my Z9 using JamiiForums mobile app
 
Mimi nahitaji huo mtungi tu, itakuwa bei gani?
 
Back
Top Bottom