Umri gani sahihi kupata mtoto?

Umri gani sahihi kupata mtoto?

Duh seriously?
Umri haujalishi?
Msichana 16 years na mvulana 17 years
Wakiona wako tayari ..it's OK?
Wapo kwenye umri sahihi lakini unapoongelea "utayari" tayari ni jambo lingine.

Ndio maana nilisema umri haujalishi, bali "utayari" ni jambo muhimu. Je upo tayari? Una uwezo wa kuwa baba? Una uwezo wa kuwa mama? Una uwezo wa kumlea huyo mtoto?

Miaka 16 miaka 17 miaka 18 miaka 20 watu wanaoana sana The Boss. Yaani unaona ni watoto kabisa lakini ni wana-ndoa.
 
Hongera kwa hatua nzuri ya kuwa na gari katka umri huwo, Mungu ameweka umri wa wew kuanza kupata mtoto kwa maana ya ukishabarehe tyari una uwezo was kupata mtoto.
Lakini umri sahihi individually inategemeana na wew mwenyewe utayari wako upoje mfano uwezo wa kuhudumia lakin pia maamuzi binafsi.
 
Wapo kwenye umri sahihi lakini unapoongelea "utayari" tayari ni jambo lingine.

Ndio maana nilisema umri haujalishi, bali "utayari" ni jambo muhimu. Je upo tayari? Una uwezo wa kuwa baba? Una uwezo wa kuwa mama? Una uwezo wa kumlea huyo mtoto?

Miaka 16 miaka 17 miaka 18 miaka 20 watu wanaoana sana The Boss. Yaani unaona ni watoto kabisa lakini ni wana-ndoa.

Wanandoa wananza kuwa wanandoa pindi umri wa balee umepita ,
Kwa hivyo wanandoa miaka 17" 18" 19" nisahihi kwa makubaliano ikiwa ni pamoja kuilea familia kwa Kila hitaji kulingana ukubwa wa familia
 
Wapo kwenye umri sahihi lakini unapoongelea "utayari" tayari ni jambo lingine.

Ndio maana nilisema umri haujalishi, bali "utayari" ni jambo muhimu. Je upo tayari? Una uwezo wa kuwa baba? Una uwezo wa kuwa mama? Una uwezo wa kumlea huyo mtoto?

Miaka 16 miaka 17 miaka 18 miaka 20 watu wanaoana sana The Boss. Yaani unaona ni watoto kabisa lakini ni wana-ndoa.
Uwezo wa hivyo viwili ulivyo vitaja unazingatiwa nini na nini ?
 
Emb ntajie hivyo vgezo xax vya kua tyr

Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Uwezo kifedha and emotionally ready. Japo sio lazima uwe financially stable lakini uwe na uwezo wa kumpatia mtoto mazingira mazuri ya kuishi, chakula, mavazi , matibabu.

Na kuwa baba au mama kwa mtoto wako sio kumleta tu mtoto duniani, bali ni kumlea katika malezi mazuri. Mtoto anahitaji uangalizi mkubwa sana na uwepo wako.

Ni mtazamo wangu.
 
Maelez pls umri wa 26 na nnahitaj watoto wa 4/5 ctafikia uzeen nkw bado nalea.

Sent from my TECNO BC2 using JamiiForums mobile app
Wazae kwa gap la miaka miwil kwaio utamaliza kuzaa ukiwa na miaka 38 na mtoto wa kwanza atakua na miaka 12 ukifikisha miaka 50 watoto wako watakua na miaka si chin ya 12 na mkubwa mmoja mwenye kusimamia Familia ukifika 60 utaanza kupokea Posa na kutoa Posa
 
Back
Top Bottom