Recent content by Mtaachana

  1. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Msumari wa TEC: Mambo Muhimu Yaliyojiri Kwenye Mkutano wa Hivi Karibuni wa TEC (Agosti 2026)

    Mashekhe ubwabwa wameachwa patupu apo
  2. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Zemanga soze kashakuja sana bongo hapa na timu tofauti tofauti na hajawahi kupoa

    Miaka 33 mpka sasa lakini leo Karudisha viungo wote darasani, kaanza ngoma kakimbia kaja DAMARO kakimbi kaja DUKE, MUDA, na CASSEMIRO hao wataenda kulala na viatu mtaalamu alizima kelele mjini
  3. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Mkuu nilikua nilipata shida kidogo
  4. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Natamani nihasiwe, nipoteze nguvu za kiume

    Jamaa ameshaleft group
  5. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Apata mimba ghafla akiwa madhabahuni kwa Mwamposa

    Sinema zetu hakika ni zakwetu
  6. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Leo nimemwona jini live nilipanda naye kwenye bajaji mwenge goba pisi kali muda wote ipo kmy ila miguu yake ilinishtua sana

    Yule hakuwa binadamu wa kawaida aisee.... Tangu tunaanza safari kutoka Mwenge, mwili wangu wote ulikuwa unasisimka.. Mara nyingi kwenye mwili wa binadamu yoyote yule kama upo sehemu isiyo salama au upo na mtu asiye wa kawaida basi lazima mwili wako ukupe taarifa. Ndicho kilicho tokea, ila...
  7. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Ongeza iwe 20k nikuachie mkuu
  8. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

    Mkuu nipo nje ya mda
  9. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Nauza kiatu, njoo na ofa yako

  10. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania JamiiForums Usiku wa manane

    0:08 Totally confused!
  11. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania FT: Singida Black Stars 1-2 Simba | CECAFA Kagame Cup | Julai 31, 2026 | 2:00 Usiku

    Kila kundi zinapita timu mbili so simba akishinda atafuzu kwa point 5
  12. Mtaachana

    JamiiForums Tanzania Manara amuonya Heche, asema kama hamuwezi kuiongelea vizuri AFCON, kaeni kimya

    Wajinga ndiyo watakuelewa kwa kuwaaminisha mpira ni Jambo la muhimu kuliko siasa, mpira hauna msaada zaidi ya furaha ama karaha ya muda Ila siasa inayahusu maisha kwa ujumla, inapanga bei ya masoko, inaamua inaamua watoto wasome nn mashuleni inaamua Kodi ulipe vp, Ila bado Kuna majinga...
Back
Top Bottom