Miaka 33 mpka sasa lakini leo Karudisha viungo wote darasani, kaanza ngoma kakimbia kaja DAMARO kakimbi kaja DUKE, MUDA, na CASSEMIRO hao wataenda kulala na viatu mtaalamu alizima kelele mjini
Yule hakuwa binadamu wa kawaida aisee.... Tangu tunaanza safari kutoka Mwenge, mwili wangu wote ulikuwa unasisimka..
Mara nyingi kwenye mwili wa binadamu yoyote yule kama upo sehemu isiyo salama au upo na mtu asiye wa kawaida basi lazima mwili wako ukupe taarifa.
Ndicho kilicho tokea, ila...
Wajinga ndiyo watakuelewa kwa kuwaaminisha mpira ni Jambo la muhimu kuliko siasa, mpira hauna msaada zaidi ya furaha ama karaha ya muda Ila siasa inayahusu maisha kwa ujumla, inapanga bei ya masoko, inaamua inaamua watoto wasome nn mashuleni inaamua Kodi ulipe vp, Ila bado Kuna majinga...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.