That’s okay, you don’t have to see it now. Sometimes the future has a way of surprising us. 😉I don't see myself doing that in the now or the near future
Nifutie hii comment kumbe ni mzee baba na siyo mzee mamaSina hizo pigo mara nyingi mm ni mtu mstaarabu sana
Nifutie na hii piaAnataka ukiingiza iwe stori yaani akuulizie na umjibu umetoa wapi, yaani ni mambo ya ajabu aisee, ila mm niko low key sitakagi mazoea
Hatari sana ,kero za kupanga zina muda ,ukishaoa anza ujenzi kabisa maana baada ya kuoa wanakuja watoto Mungu akibariki na inaopendeza watoto wakishaanza baby class wawe wanakaa vyumbani mwao.Ni muda sasa ujenge nyumba yako Masta
Yeye ndiye aliyetaka kulipwa miezi 6.Sioni shida kumkopa mwenye nyumba, ajue tu tutakatana kwenye kodi.
Usijaribu kuwa na urafiki na mwenye nyumba, sababu huo urafiki lazima ukuumize, anatafuta mlango wa kukulia shida zake.
Kuna baadhi ya maeneo kulipa kodi ya miezi 6 ni kosa, utaonekana Mo!.
Mbona kupanga sio dhambi?Hatari sana ,kero za kupanga zina muda ,ukishaoa anza ujenzi kabisa maana baada ya kuoa wanakuja watoto Mungu akibariki na inaopendeza watoto wakishaanza baby class wawe wanakaa vyumbani mwao.
Kuna jamaa aliniomba nimnunulie umeme umekatika kwake ,nilishangaa sana kwamba jina linasoma si lake ,nilisikitika sana kwa miaka yote ya kufanya kazi lakini bado amepanga.
Disclaimer:Natambua Wapo watu wana mijengo ya biashara na wamepanga.
Wote hutaka wapewe hivyo ili kupima urefu wa mfuko wa mpangaji mpya.Yeye ndiye aliyetaka kulipwa miezi 6.
Una miaka mingapi wwBaada ya kumlipa pesa yake ya miezi 6,pamoja na hela za taka na maji..
Naona amenikasirikia sana,
Huwa anajaribu kujenga mazoea na mm ila namkwepa.
Kajaribu mara kibao sana nimkope hela, ila na kataa maana najua ni hatanirudishia na tutasumbuana tu.
Sasa majuzi nimekuja na mtoto mkali kanipikia diko zuri, na nkamtafuna.. Asubuhi anakuja kunigongea na majungu sijui demu anapaswa alipie..
Nikamwangalia nakupatwa hasira..
Demu kaja kulala siku mbili na kuna wapangaji watu wazima wanaishi na familia zao, nimemjibu kiustaarabu ila next time nitamuwakia..
Kuna wazee wanatabu sana, na issue mbaya ni wako nyumba jirani, so wanakaa kuchora wapangaji na mazoea yasiyo na mbele wa nyuma.
Watoto wake hawana heshima kabisa,
Vinaongea matusi hadharani, vinadaharau Ukiniuliza kitu vinajifanya havikusikii..
Wengine wakiingiza mademu anataka aanze kujua, anastori za kitoto, anapenda kuongelea vitu vya ajabu ajabu tu.
Yaani mke wake ndo anajishugulisha hata kumzidi yeye..
Hii nayo idea ila kumpata huyo mtu ndo kimbembe alafu nitaingiwa gharama za kumlipa dalali tenaYaani story yako imeniuma kama vile ni mimi yalinipata, kwanza anakuonaje/anakuchukuliaje kiasi kwamba akuulize suala ambalo halihusiani na upangaji wako kwake?
Tafuta dalali akutafutie mpangaji hapo kwake, halafu huyo mpangaji hela ya kodi unaichukuwa wewe yaani anakurudishia ile uliyokuwa umelipa kwa huyo mwenye nyumba,, unaenda kulipa sehemu nyingine, akikuuliza mbona anaona mtu mwingine kwenye hiyo nyumba? Mwambie ni ndugu zako wako hapo.
Mimi sina ukubwa wowote mkuu,😂😂😂Professor wa ngazi za juu de nguna..nimekuita mara 3 wew kijana wa kimatumbi mwenye tambo na majivuno ya kimaandishi.
Nimesikitishwa na hili bandiko lako linaloonyesha wazi unaishi katika corridors za kupangisha , huku wapangaji mkiwa mmerundikana kama ndizi kwenye mkungu.
Wakati nikiendelea na uchunguzi binafsi kukuhusu..Sasa ni wakati wa wew mbantu mweusi kuhama na kwenda kupanga a stand alone apartment kama tufanyavyo washua wako.
Adioss de nguna , kwaheri ze ugali!!!!!