Ndugu John J. Mnyika, mbunge wa jimbo la ubungo, mimi ni mpiga kura wako ambae nlikuchagua kwa mbwembwe nyingi mno na nlikua mmoja wa wasimamizi wa kura zako pale mabibo, ninakaa kimara bonyokwa. kwa kweli mbunge wangu kipenzi njia zetu zote hazipitiki brother, hapa nipo hapa vinane kama...