Mbunge Salome Mwambu (CCM) mahututi Muhimbili

huyo mbunge akitoka huko muhimbili atueleze anaonaje huduma na hali ilivyo hospitalini hapo alafu akampe taarifa mwenyekiti wao wa chama
 
Wanabodi, huyu mama tangu awe mbunge hajawahi kuonekana jimboni kwake na wala hajawahi kutoa mchango wowote bungeni kuhusiana na jimbo lake, nina ushahidi, mimi ni wa huko. aliwahi kuulizwa kwa nn akasema eti aliingia bungeni kwa fedha zako kwa hio asipigiwe kelele. Ukweli ni kwamba alishinda ubunge kuke kwa sababu watu walishamchoka aliekua mbunge kabla yake, Mgana Izumbe Msindai. Hii inaonekana ni kwa namna gani watu wanavyopenda mabadilliko. CDM walisimamisha kajamaa flani ambae pamoja na kutojulikana alikua helplsess, uongozi wa chadema haukumpa support ya namna yoyote. kwa pamoja tunamwombea apone ila aache ubunge akafundishe, chadema karibuni, we real need changes.
msusu, Isanzu, kirumi porini
 
Kunradhi, CT-Scan kupima kisukari?

Amelazwa kwa maradhi ya kisukari na shinikizo la damu (BP).. Hivyo vyote hasa hasa BP inaweza sababisha kiharusi (stroke), na kama yuko ICU most likely atakuwa kapoteza fahamu (moja ya dalili ya stroke).. Kwa mantiki hiyo CT scan inahitajika kubaini kama kuna stroke au la. mbali na ubongo, inaweza pia kuhitajika kubaini uharibifu sehemu mbali mbali za mwili.
 
Huyu ni mbunge wangu. Wananchi wanasema ni bora afe tu. R.I.P

Mkuu huyu ni mwanadamu kama ulivyo wewe.....ana familia.. ndugu.. jamaa na marafiki....unadhani wapendwa wake watajisikiaje wakisoma post yako hii.....hili ni suala la uhai kumbuka. unadhani watakuonaje wewe pamoja na kikundi/chama chako unachokiwakilisha???........tumia akili kidogo mkuu......mnakosa kupewa kura kwa sababu ya vitu vidogo sana ... ..Mungu akujalie upone upesi mheshiwa. ......
 
Mkuu huyu ni mwanadamu kama ulivyo wewe.....ana familia.. ndugu.. jamaa na marafiki....unadhani wapendwa wake watajisikiaje wakisoma post yako hii.....hili ni suala la uhai kumbuka. unadhani watakuonaje wewe pamoja na kikundi/chama chako unachokiwakilisha???........tumia akili kidogo mkuu......mnakosa kupewa kura kwa sababu ya vitu vidogo sana ... ..Mungu akujalie upone upesi mheshiwa. ......

ndugu wa dr uli nao walijiskiaje????afe tu kufa ni lazima kwa kila binadamu,,,,,,
 
Amelazwa kwa maradhi ya kisukari na shinikizo la damu (BP).. Hivyo vyote hasa hasa BP inaweza sababisha kiharusi (stroke), na kama yuko ICU most likely atakuwa kapoteza fahamu (moja ya dalili ya stroke).. Kwa mantiki hiyo CT scan inahitajika kubaini kama kuna stroke au la. mbali na ubongo, inaweza pia kuhitajika kubaini uharibifu sehemu mbali mbali za mwili.

sasa itakuwaje bila CT SCAN
 
Mkuu huyu ni mwanadamu kama ulivyo wewe.....ana familia.. ndugu.. jamaa na marafiki....unadhani wapendwa wake watajisikiaje wakisoma post yako hii.....hili ni suala la uhai kumbuka. unadhani watakuonaje wewe pamoja na kikundi/chama chako unachokiwakilisha???........tumia akili kidogo mkuu......mnakosa kupewa kura kwa sababu ya vitu vidogo sana ... ..Mungu akujalie upone upesi mheshiwa. ......
good pwenti ila lazima ukubali kwamba watu wamechoka na wanateseka kila siku

usomacho ni hali halisi ya chuki itokanayo na unfair society
 
Tukiingiza siasa katika uhai basi tujue tunajenga jamii ambayo hatima yake si njema kwetu sote ..tumeshuhudia mauaji/majeruhi kuanzia tarime, igunga, arumeru .. .lakini viongozi wetu wa kisiasa wamebaki kimya.. ..wanafanya uhai wetu kama mitaji yao ya kisiasa .....tusije kushangaa pale mikusanyiko yetu itakapoanza kushambuliwa kwani uhai hulipwa kwa uhai(visasi).....tushindane kwa sera na hoja lakini zinapotokea shida za kibinadam (magonjwa,vifo,nk) tuweke itikadi zetu kando tuwe pamoja.....tufarijiane....huku ndio kukomaa kisiasa.....uungwana
 
Back
Top Bottom