Ndahani
Platinum Member
- Jun 3, 2008
- 18,119
- 9,049
Maggid, with due respect, everyone perceive various issues in this world basing on his/her point of reference. Kwangu mimi, kwa kuwa katiba inampa madaraka makubwa sana Rais basi ni lazima taasisi ya urais ionyeshe uhai na kuwa on top of issues.
Kila kitu kinaenda kwa ghasia sasa hivi na tupeane sifa kwasababu ya uhuru wa kutoa maoni bila kujari watu hawali na maisha yanakuwa magumu siku hadi siku? Putin pamoja na ubabe wote alionao,awamu yake ya kwanza kama rais wa Russia alihakikisha anatumia natural resources za Russia, ikiwemo gas na mafuta kuwapa watu wake mkate wa kutosha wa kila siku. Kumbuka kabla ya Putin, enzi za Yetsin maisha yalikuwa ni magumu sana Russia. Hivi unafahamu pamoja na udikteta wake Putin alipata kupendwa sana siku hizo?
Times change kwahiyo sijui sasa hivi itakuwaje...ninachotaka kusema ni kuwa Rais ahakikishe watanzania kwanza...hata kama wavivu na magoigoi, na wasiojua kusoma, lazima itumike mbinu mbadala ya kubadili muonekano wa mambo. Tunajisikiaje kila siku hela ya walipa kodi inapoingizwa TRL, ATCL na halmashauri za wilaya zetu halafu zikaishia kuliwa tu???
Vinginevyo kama wewe unavyoona uko sahihi, na MNYIKA pia anaona yuko sahihi....
Kila kitu kinaenda kwa ghasia sasa hivi na tupeane sifa kwasababu ya uhuru wa kutoa maoni bila kujari watu hawali na maisha yanakuwa magumu siku hadi siku? Putin pamoja na ubabe wote alionao,awamu yake ya kwanza kama rais wa Russia alihakikisha anatumia natural resources za Russia, ikiwemo gas na mafuta kuwapa watu wake mkate wa kutosha wa kila siku. Kumbuka kabla ya Putin, enzi za Yetsin maisha yalikuwa ni magumu sana Russia. Hivi unafahamu pamoja na udikteta wake Putin alipata kupendwa sana siku hizo?
Times change kwahiyo sijui sasa hivi itakuwaje...ninachotaka kusema ni kuwa Rais ahakikishe watanzania kwanza...hata kama wavivu na magoigoi, na wasiojua kusoma, lazima itumike mbinu mbadala ya kubadili muonekano wa mambo. Tunajisikiaje kila siku hela ya walipa kodi inapoingizwa TRL, ATCL na halmashauri za wilaya zetu halafu zikaishia kuliwa tu???
Vinginevyo kama wewe unavyoona uko sahihi, na MNYIKA pia anaona yuko sahihi....