Mystery
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 15,484
- 30,159
Duh... naangalia bunge... kwa hakika CCM wanavuana nguo wenyewe kwa wenyewe!!Soma namba za magari ni private , serikali haina namba private ......
It is a blessing for opposition camp!
Duh... naangalia bunge... kwa hakika CCM wanavuana nguo wenyewe kwa wenyewe!!Soma namba za magari ni private , serikali haina namba private ......
Ndugai hajui na wala hana uwezo wa kusimamia bunge. Amezidiwa na Zungu kwa kiasi kikubwa sana
Waliotazama bunge leo la budget kunawakati lililetwa Swala la UDA, Mwakyembe akasema wizara yake haihusiki lakini Ndungai akamwambia aache usanii UDA ipo uchukuzi! Mwakyembe akatamani kulia
Ndugai hajui na wala hana uwezo wa kusimamia bunge. Amezidiwa na Zungu kwa kiasi kikubwa sana
Ndugai hajui na wala hana uwezo wa kusimamia bunge. Amezidiwa na Zungu kwa kiasi kikubwa sana
hivi zungu wakati wa uchaguzi wa naibu spika alikuwa uk ama wapi
mbona hili jamaa limetokeleza kweli
Waliotazama bunge leo la budget kunawakati lililetwa Swala la UDA, Mwakyembe akasema wizara yake haihusiki lakini Ndungai akamwambia aache usanii UDA ipo uchukuzi! Mwakyembe akatamani kulia
Zungu amemzidi hadi Bibi Makinda by far!
Dugai ndo kilaza uda lipo Tamisemi na lilikua chini ya jiji la dar es salaam
Kama swali lingekuwa linauliza viwango vya mabasi na leseni moja kwa moja Dr. Mwakyembe angehusika kujibu swali hilo. Unapomuuliza yeye suala la umiliki au uendeshaji wa shirika sio tu hilo halimuuhusu lakini ni sawa na kumuuliza Waziri wa afya kwa nini Wahaya wamejaa hospitali ya Kairuki-Mikocheni.Lusungo go check your fact mkuu!
UDA is abbr of USAFIRI DAR ES SALAAM;moja kwa moja na bila ubishi usajili wa UDA pale BRELA ulipata kibali toka Wizara ya uchukuzi na hata magari yao kuruhusiwa kubeba watu kibali chao kinasainiwa na maofisa toka Wizara ya Uchukuzi
Dr Mwakyemba HANA jibu kuhusu usanii wa uuzwaji UDA sababu waliofanya hivyo ni wenzake
Kama swali lingekuwa linauliza viwango vya mabasi na leseni moja kwa moja Dr. Mwakyembe angehusika kujibu swali hilo. Unapomuuliza yeye suala la umiliki au uendeshaji wa shirika sio tu hilo halimuuhusu lakini ni sawa na kumuuliza Waziri wa afya kwa nini Wahaya wamejaa hospitali ya Kairuki-Mikocheni.
mdini mno kama Dau wa nssf,mkoloni ni mkoloni tu huwa haachi asili
Lusungo go check your fact mkuu!
UDA is abbr of USAFIRI DAR ES SALAAM;moja kwa moja na bila ubishi usajili wa UDA pale BRELA ulipata kibali toka Wizara ya uchukuzi na hata magari yao kuruhusiwa kubeba watu kibali chao kinasainiwa na maofisa toka Wizara ya Uchukuzi
Dr Mwakyemba HANA jibu kuhusu usanii wa uuzwaji UDA sababu waliofanya hivyo ni wenzake