Sitta ni Mwongo na Mnafiki, Jiuzulu mara moja

Jenifa

JF-Expert Member
Oct 30, 2010
605
305
sitta umedanganya nchi kuhusu ugonjwa wa rafiki yako Mwakiembe. sasa amekuruka na kukuacha uchi, jiuzulu mara moja kwa faida ya nchi.

hatutaki viongozi wanafiki na waongo!
 
sitta umedanganya nchi kuhusu ugonjwa wa rafiki yako Mwakiembe. sasa amekuruka na kukuacha uchi, jiuzulu mara moja kwa faida ya nchi.

hatutaki viongozi wanafiki na waongo!


Huyu ndo wa kushitakiwa kabisa. Kumbe riport ya Manumba ilikua ya kweli kwa mtindo huu. kwa sababu tunaamini anayejua ukweli wa ugonjwa ni Mwakyembe mwenyewe na tayari ameshafunguka kwamba hamna sumu ni ugonjwa tu mwingine ambao chanzo chake hakieleweki.
 
maneno ya sita jana baada ya kuulizwa na gazeti la mwananchi. kujiamini kote kumeisha ni kumpeleka mahakamani tu huyu mtu.

Kauli ya Sitta
Mmoja wa wanasiasa waliodai kuwa Dk Mwakyembe amelishwa sumu, Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samwel Sitta alipoulizwa jana juu ya kauli hiyo mpya ya Dk Mwakyembe alisema hana cha kuzungumza.

Januari 28, mwaka huu akiwa kwenye uzinduzi wa Programu ya Neno la Hekima kutoka kwa Kiongozi iliyoanzishwa na Kanisa la Ufufuo na Uzima la Kawe, Dar es Salaam Sitta alisema Dk Mwakyembe amelishwa sumu.

Akizungumza kwa utaratibu, Sitta alisema hana mengi ya kuzungumza kuhusu ugonjwa unaomsumbua Dk Mwakyembe na kusisitiza kuwa isubiriwe ripoti kutoka India ambako alikuwa akitibiwa.

"Dk Mwakyembe si anatibiwa India?," alihoji na kuendelea, "Nadhani umeshapata jibu, tusubiri… acha huko India waendelee na uchunguzi wao, siwezi kusema lolote zaidi ya hilo nililokuambia."
 
Wanafiku unawajua wewe au unawasikia tu radioni kama kipindi cha Mzee Jangala enzi hizo????

Taratibu, ngoma bado mbichi kabisa wewe tulia usije ukaonekana umekurupuka bure. Mambo mapya yaja katika eneo hili hapo mbeleni kidogo na utashangaa, usituone tumejituliza hapa mithili ya uji wa mtoto hivi - kuna jambo njiani.
 
kwani mwakyembe si alishawah kutamka kwa mdomo wake mwenyewe akiwa na sitta na anna kilango kuwa amelishwa sumu? There's something wrong mahali,
 
Miimi nadhani wewe great thinker umri wako ni sawa na mjukuu wa Sitta. Hutakiwi kabisa kumtusi mtu mzima hata kama kweli ulimi uliteleza. Mungu anakataza na nadhani hata wazazi wako kama wanamaadili mema wangekukataza.
Dr Mwakyembe si mjinga na atakuwa amemwambia rafiki yake Sitta undani wa ugonjwa wake.
Pia wataalamu wamesema kuwa ugonjwa huu umesababishwa na kitu kilichoingia kutoka nje na kuvuga utendaji kazi wa chembe chembe nyeupe za damu. Kitu hiki kinaweza kuwa mdudu au chemical fulani. Kinaweza kuwa man made au natural.
Hili ni swala la kitaalamu zaidi na huyu mzee anaweza kuwa kashikishwa sumu bila kujua na hata kuupata ushahidi wake ni vigumu kwani jambo hilli la hatari lazima lifanywe kwa usiri mkubwa. Hata baada ya kufanya hivyo ushahidi huharibiwa. Watu wengi sana inchi wanakula sumu bila kujua akishaanza kuugua wanasema amelogwa.
 
Scleroderma, Information about Scleroderma



Most cases of scleroderma occur with no recognizable initiating event. Some cases, however, have been traced to poisonous (toxic) exposures. For example,coal miners and gold miners (both of whom have a lot of exposure to silica dust) have higher than normal rates of scleroderma. Other types of chemicals that have been associated with scleroderma include polyvinyl chloride, benzine,toluene, and epoxy resins. In 1981, 20,000 people in Spain were stricken with a syndrome similar to scleroderma when a toxic substance accidentally contaminated cooking oil. Some claims of a scleroderma-like illness have been madeby women with silicone breast implants.
 
mbona bado mapema, nyie tuelieni tuu mtayaona makubwa ambayo amkutarajia. sasa nawashanga nyie ambao mmeanza kumpiga vijembe sitta wakati kunakinachokuja ambacho mtamrudia tena sitta nakumkubali.

time will tell. l
 
Miimi nadhani wewe great thinker umri wako ni sawa na mjukuu wa Sitta. Hutakiwi kabisa kumtusi mtu mzima hata kama kweli ulimi uliteleza. Mungu anakataza na nadhani hata wazazi wako kama wanamaadili mema wangekukataza.
Dr Mwakyembe si mjinga na atakuwa amemwambia rafiki yake Sitta undani wa ugonjwa wake.
Pia wataalamu wamesema kuwa ugonjwa huu umesababishwa na kitu kilichoingia kutoka nje na kuvuga utendaji kazi wa chembe chembe nyeupe za damu. Kitu hiki kinaweza kuwa mdudu au chemical fulani. Kinaweza kuwa man made au natural.
Hili ni swala la kitaalamu zaidi na huyu mzee anaweza kuwa kashikishwa sumu bila kujua na hata kuupata ushahidi wake ni vigumu kwani jambo hilli la hatari lazima lifanywe kwa usiri mkubwa. Hata baada ya kufanya hivyo ushahidi huharibiwa. Watu wengi sana inchi wanakula sumu bila kujua akishaanza kuugua wanasema amelogwa.
Nilikuwa sapoter wa hawa jamaa, lakini nimegundua wanatumia uelewa wetu mdogo kutuchezea akili, maana mara waseme serikali imejiishia na haina muelekeo, mara oh ccm ndo yenye uwezo wa kuleta maendeleo, kumbuka sitta akiwa kirumba, so hawa jamaa ni ndumira kuwili,ilimradi tu waendelee kunufaika kupitia migongo yetu,
Haiingii akilini kuwa Mwakyembe anasema eti alipewa sumu kwenye taulo lililo kuwa ofisini kwake, nasasa anaingia ofisi hiyihiyo bila hata kuifanyia uchunguzi, na mda huohuo, sitta anachapa lapa huyoooo!! ulaya hata kazi aliyoianza kirumba hajaimaliza, wote na serikali yao ni yakupuuza tu.
 
Back
Top Bottom