sitta umedanganya nchi kuhusu ugonjwa wa rafiki yako Mwakiembe. sasa amekuruka na kukuacha uchi, jiuzulu mara moja kwa faida ya nchi.
hatutaki viongozi wanafiki na waongo!
tusubiri ripoti ya serikali kama alivyotushauri mhe Mwakyembe!
Nilikuwa sapoter wa hawa jamaa, lakini nimegundua wanatumia uelewa wetu mdogo kutuchezea akili, maana mara waseme serikali imejiishia na haina muelekeo, mara oh ccm ndo yenye uwezo wa kuleta maendeleo, kumbuka sitta akiwa kirumba, so hawa jamaa ni ndumira kuwili,ilimradi tu waendelee kunufaika kupitia migongo yetu,Miimi nadhani wewe great thinker umri wako ni sawa na mjukuu wa Sitta. Hutakiwi kabisa kumtusi mtu mzima hata kama kweli ulimi uliteleza. Mungu anakataza na nadhani hata wazazi wako kama wanamaadili mema wangekukataza.
Dr Mwakyembe si mjinga na atakuwa amemwambia rafiki yake Sitta undani wa ugonjwa wake.
Pia wataalamu wamesema kuwa ugonjwa huu umesababishwa na kitu kilichoingia kutoka nje na kuvuga utendaji kazi wa chembe chembe nyeupe za damu. Kitu hiki kinaweza kuwa mdudu au chemical fulani. Kinaweza kuwa man made au natural.
Hili ni swala la kitaalamu zaidi na huyu mzee anaweza kuwa kashikishwa sumu bila kujua na hata kuupata ushahidi wake ni vigumu kwani jambo hilli la hatari lazima lifanywe kwa usiri mkubwa. Hata baada ya kufanya hivyo ushahidi huharibiwa. Watu wengi sana inchi wanakula sumu bila kujua akishaanza kuugua wanasema amelogwa.