Kiraka Kikuu
JF-Expert Member
- Oct 3, 2011
- 5,904
- 1,976
astakhafirulah!
na wewe hivyohivyo!
astakhafirulah!
JK anachekelea kwa kupata safari. Lazima leoleo anatia tim lilongwe nakusubiria mpaka siku ya mazishi. Hongera mzee wa ma trip.
Hatimaye rais wa Malawi amefariki baada ya kuzushiwa kifo tangu alipopatwa na 'cardiac arrest'.Amefia Afrika ya kusini.
Source: Star tv
Kusema kwamba ubashiri wa TB Joshua ni maono anayopewa na Mungu inaleta tabu kuamini hasa kama mtu ni Mkristo unayefuatilia maandiko.tuamini watumishi wa mungu maana tb joshua alitabiri wengi mkapinga
Nabii T.b Joshua akumbukwe.
hilo tayari, kinachofuata ni EL kuapishwa urais Tz