Recent content by msugu pwigite

  1. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    mimi sioni umuhimu wa lukaku mbele ni wakati wa kumpa nafasi rashford
  2. M

    USHUHUDA: Nilizaliwa na Virusi vya UKIMWI

    Hongera sana kwa kujikubali na hiyo ndo tiba namba moja ya hili tatizo. Ninamfahamu pia mtoto wa ndugu yangu alizaliwa HIV+ nadhani sasa anamiaka 30 au 29 na yuko vizuri tu. Kuna magonjwa habari zaidi ya Ukimwi.
  3. M

    Ugonjwa huu kwa Bata unaitwaje

    Nimejaribu kuweka picha imekataa naomba msaada
  4. M

    Ugonjwa huu kwa Bata unaitwaje

    Wakuu naombeni mnisaidie huu ni ugonjwa gani maana unasumbua sana hasa vifaranga, nipeni mawazo ya sawa gani itawatibu?
  5. M

    Hii hali isipodhibitiwa tutafika pabaya

    Point 100 kwa 100 nakupa
  6. M

    Mazoezi baada ya ibada ndani ya nyumba ya ibada?

    Mkuu nimesoma comments zako nimekukubali tofauti na watoa maada wengine, Mimi ni christian ila nakubaliana nawe kuwa suala LA ugaidi ni utashi Wa MTU. Mimi nionavyo watu wananyooshea sana uislamu kuwa ugaidi sababu uislamu umeegemea sana tamaduni ya kiarabu sana na waarabu hata lugha wanayotumia...
  7. M

    Series (Special thread)

    Hz app Mimi nikidownload hazifanyi kazi ipasavyo mf nimeinstall app ya IDMDB series kucheki ni kwa kununua na app ya tubetv series sizipati hebu welevu nisaidieni
  8. M

    Hivi inakuwaje mwanamke unakubali kuwa na lofa?

    Meolewa, metulia ni lugha gani hii? Kweli unadhihirisha character yako kuwa ni wa uswahilini na hujui maana ya maisha unachojua mume ni buzi.
  9. M

    Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Kesho tunashinda tatu
  10. M

    Series (Special thread)

    Nadownload app au nacheki direct kwa Google?
  11. M

    Series (Special thread)

    Haswa haswa 100 kuanzia seoson 2, heroes rebon zote, revolution zote, designated survivor zote, tomorrow pple,Jericho na zingine
  12. M

    Series (Special thread)

    Kama mtu amezidowload naomba tutafutane ili hata kwa kuniuzia nizipate hizo series lakini awe na episode Nyingi nyingi
  13. M

    Series (Special thread)

    Mkuu nimejaribu kuingia hiyo toxic na o2 zinaniletea vitu vya magame na pon kwa lazima hazinifikishi kuopt seriz nayotaka
  14. M

    Series (Special thread)

    Asante mkuu
Back
Top Bottom