Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
Vidic aridhishwa na kiwango cha Bailly
kesho tunasuluhu![]()
Fixture for April
kabisa,dalili ya ushindi kesho haipo kabisa .kesho tunasuluhu
Usiseme hivo, kuna watu humu timu inawauma bana, watakudhihaki na kukukashif sasa iv, wao hawataki kuambiwa ukweli, watakuambia uhame timukabisa,dalili ya ushindi kesho haipo kabisa .
Nimekufuatiliaga sana ila wee shabiki wa timu flani, ila muda mwingi upo hapa kujipooza na kujikuta unaongea reality kuhusu MUTD.Usiseme hivo, kuna watu humu timu inawauma bana, watakudhihaki na kukukashif sasa iv, wao hawataki kuambiwa ukweli, watakuambia uhame timu

Umeniona kwenye jukwaa lolote nikiishabikia timu yoyote zaidi ya hii? Tatizo lenu mnadhani ukiwa shabiki wa timu flan huwezi kuiongelea -ve timu yako, huo ndo tunauita ushabiki maandazi. Mimi siko hivo mjomba, ikifanya vizuri naisifia na ikiboronga nasema piaNimekufuatiliaga sana ila wee shabiki wa timu flani, ila muda mwingi upo hapa kujipooza na kujikuta unaongea reality kuhusu MUTD.![]()
Namuona AY hapo...vipi Mwana FA yupo majeruhi ama??!Confirmed squad for today: De Gea, Romero, Pereira, Valencia, Darmian, Bailly, Rojo, Tuanzebe, Fosu-Mensah, Carrick, Willock, Fellaini, Lingard, AY, Miki, Rooney, Martial, Rashford
mata anaweza akakosa mechi zote za msimu zilizobaki, ndio maana Willock kaitwa kuziba nafasi yake
![]()
Mhh majanga
hahaaaa mwana FA wetu hapo ni lingard, mbali na mpira pia anaimba na kucheza kama jesse vileNamuona AY hapo...vipi Mwana FA yupo majeruhi ama??!
Looks like fake news!Unajua hii habari bado siamini? Jana Mourinho ajaongelea tatizo lolote kuhusu Mata kuwa atafanyiwa operesheni.
Looks fake news!
Bado ninachunguzaInawezekana. Lakini kati ya wachezaji waliowasili jana Hotelini hakuwepo.