Mazoezi baada ya ibada ndani ya nyumba ya ibada?

Mazoezi baada ya ibada ndani ya nyumba ya ibada?

Unawajua Irish Republican Army (IRA)?Sicarii,Tamil tigers je?,kazi ilokuwa inafanywa na Knight templars unaifahamu,the list is long.ugaidi upo na umekuwepo kabla ya mtume kuja,wapo magaidi wakristo (IRA),wapo wahindu (tamil tigers),wapo waislamu (alshabaab,ISIS etc).

Najaribu tu kukufamisha kuwa ugaidi hauko specific kwa dini fulani,bali ni utashi tu wa kundi la watu lenye dhamira ovu.

Kama umesoma historia basi utakuwa unafahamu kuhusu vita vya msalaba a.k.a the crusade na ile Spanish inquisition unyama wote huu ulifanywa na wakristo,joseph kony na kundi lake la Lord Resistance Army wameshafanya matendo kibao ya kigaidi,kwa mwamvuli wa dini ya kikristo lakini husikii waislamu tukiwatuhumu ama kuwaita wakristo magaidi.Ni wasiokuwa na elimu na kujua historia pekee wanaoweza kunyooshea kidole waislamu kuwaita magaidi.
Nadhani kuna kitu huelewi.

Ukisema IRA ni magaidi ya kikiriato basi hata FARC, kina Savimbi nk wote ni magaidi ya kikiristo.

Mtu anakua gaidi wa dini kama anapigania hiyo dini,anapigania maslahi ya hiyo dini.

Sasa naomba uniambie je IRA walikua wanapigania maslahi ya ukiristo,yaani kusimamisha dola ya kikiristo huko Ireland? Inawezekana kabisa kikundi cha magaidi wote ni wa dini flani, Mfano IRA wote ni wakristo, je walikua wakipigania maslahi ya ukiristo?

Vikundi vingine vyote vya kiislam vinahusishwa na ugaidi wa dini kwa maana kwamba vinapigania maslahi ya kidini sio ya kisiasa,vinapigana kulinda imani yao.
 
Nadhani kuna kitu huelewi.

Ukisema IRA ni magaidi ya kikiriato basi hata FARC, kina Savimbi nk wote ni magaidi ya kikiristo.

Mtu anakua gaidi wa dini kama anapigania hiyo dini,anapigania maslahi ya hiyo dini.

Sasa naomba uniambie je IRA walikua wanapigania maslahi ya ukiristo,yaani kusimamisha dola ya kikiristo huko Ireland? Inawezekana kabisa kikundi cha magaidi wote ni wa dini flani, Mfano IRA wote ni wakristo, je walikua wakipigania maslahi ya ukiristo?

Vikundi vingine vyote vya kiislam vinahusishwa na ugaidi wa dini kwa maana kwamba vinapigania maslahi ya kidini sio ya kisiasa,vinapigana kulinda imani yao.
Mbona hujataja lords resistance army ya bwana kony?,ugomvi wa ireland pamoja na kuwa ulikuwa na nia ya sovereignity pia ulikuwa na vinasaba vya dini,nimetaja hao kama mfano tu.Gaidi ni gaidi no matter nini anakipigania,Alafu ukija kujua asili ya mgogoro uliopo hivi sasa katika mashariki ya kati na somalia nani anawafund na kuwapa silaha na nan anapigana na nani utaelewa kuwa kupigania dini ni kisingizio tu,(Ostensible reason) tu lakini malengo yao ni mengine kabisa.mgogoro wa mashariki ya kati umeanza kipindi cha crusade na bado crusade haijesha mpaka leo na ndo maana bush jr akihojiwa wakati vita ya afghanistan inaanza aliita crusade.ISIS wanaingiza faida sio chini ya dalari milioni moja kwa siku.sasa jiulize hayo mafuta wanauziwa kina nani ukipata jibu njoo.

Kuhusu makundi ya kigaidi yenye mrengo wa kidini moja kwa moja yanaopigania ukristo yapo mengi.sikuyataja kwasababu hayafahamiki sana kutokana na media kutoyapa coverage.A simple google search itakuletea.
Nakuwekea hapa linki ya oklahoma city bombing ya mwaka 1995 alafu utaona kama waliohusika walikuwa kina nani

Oklahoma City bombing - Wikipedia
 
Wakristo na Waislamu wakishambuliana basi mashambulizi ya wakristo kwa uislamu huishia nje ya uislamu..mfano kama hilo suala la ugaidi. Ila waislamu wakishambulia ukristo hadi huchambua hadi vifungu vya biblia.
 
2f11f41b108ae3e4603d965af85750c5.jpg
Yalahhh
 
Hebu kwa faida ya wote unionyeshe mahala kwenye Qur-an,hadithi ama maisha ya mtume palipofundisha kuuwa mtu asiye na hatia ama mtu wa dini tafauti.ukiweza kutuletea kipengele hicho nabadili dini leo leo.
Nachojua mimi na nilichokisoma ni katazo la kuua,kudhuru ama kulazimisha asiye muislamu kubadili dini.
Mkuu nimesoma comments zako nimekukubali tofauti na watoa maada wengine, Mimi ni christian ila nakubaliana nawe kuwa suala LA ugaidi ni utashi Wa MTU.
Mimi nionavyo watu wananyooshea sana uislamu kuwa ugaidi sababu uislamu umeegemea sana tamaduni ya kiarabu sana na waarabu hata lugha wanayotumia ndo uislamu unatumia lugha hiyo hiyo, sasa tatizo linakuja unakuta hata baadhi ya waialamu wanafuata matendo ya waarabu wakielewa kuwa ndio dini hivyo kupelekea watu kuchukulia uislamu ni ugaidi.
Hayo ni maoni yangu ila sina nia ya kukashifu dini.
Unawajua Irish Republican Army (IRA)?Sicarii,Tamil tigers je?,kazi ilokuwa inafanywa na Knight templars unaifahamu,the list is long.ugaidi upo na umekuwepo kabla ya mtume kuja,wapo magaidi wakristo (IRA),wapo wahindu (tamil tigers),wapo waislamu (alshabaab,ISIS etc).

Najaribu tu kukufamisha kuwa ugaidi hauko specific kwa dini fulani,bali ni utashi tu wa kundi la watu lenye dhamira ovu.

Kama umesoma historia basi utakuwa unafahamu kuhusu vita vya msalaba a.k.a the crusade na ile Spanish inquisition unyama wote huu ulifanywa na wakristo,joseph kony na kundi lake la Lord Resistance Army wameshafanya matendo kibao ya kigaidi,kwa mwamvuli wa dini ya kikristo lakini husikii waislamu tukiwatuhumu ama kuwaita wakristo magaidi.Ni wasiokuwa na elimu na kujua historia pekee wanaoweza kunyooshea kidole waislamu kuwaita magaidi.
 
Dunia ina waislamu bilioni mbili,au 23% ya idadi ya watu wote waliopo duniani,unadhani uislamu ingekuwa dini ya shari unadhani dunia ingekalika?
Wengi wetu ama kwa kukosa ufahamu au kwa ushabiki tumekuwa tukiihusisha dini ya kiislamu na ugaidi.
Nakupa challenge uende ukasome historia ya ugaidi from the first century to date alafu utaelewa kinachoendelea duniani
apo 'kene' bilioni mbili sun'ni wangapi shia wangapi??
naomba na source ili usiniache njiani.
 
Kuna msemo maarufu unaosema "Watu wangu wanapotea kwa kukosa maarifa".
Hakuna hatia kwa watu Kufanya mazoezi ndani ya jengo la ibada.Kwenye uslamu na imani nyengine Msikiti(temple) sio tu ni sehemu ya kufanya ibada bali pia ni community center,sehemu ya jamii kukutana,kusaidiana na kufanya mengine mengi yawahusuyo ikiwamo mazoezi.

625b4c002a50bfad43c9ea7f5bfa5265.jpg


fb67b102702b8c5379b90d4c5ff93e9b.gif


93988fd10f47970c87350a52ba25187d.jpg

Pichani ni watawa na waumini wakibudha (budhist monks) wakifanya mazoezi ya kung fu/tai chi katika matemple yao

Ni wajinga pekee na wale wasio na uelewa wa dunia wanaoweza kushangaa watu kufanya mazoezi katika maeneo yao ya ibada.
A mosque is an institution.

de4935951434805c8fb0ba128140fd67.jpg


aab0c85ce233762582ddf27c9b64c9b9.gif


3537a5629275cdafc31b6b0fb8ff58a7.jpg
umedadavua vizur mno mkuu
 
Binafsi na practise sana hayo mavitu na mara nyingi naprectise KRAV MAGA, kwa wanaoujua huu mchezo, lakini sifanyi shari kwa mtu yeyote na wala si mkorofi, lakini siku akitokezea wa kunianzishia ndio atatia akili.

"Kujifunza au kujua kitu sio kwa ajiliya ugaidi"
Hata mwalimu wangu nchini Israel aliwahi niambia kuwa nilichojifunza iwe ni kwa ajili ya self defence only.
 
Aisee, lakini si kila siku watu wanahimizwa wafanye mazoezi kwa ajiliya afya zao? Hata kujiweka fiti nako si vibaya ni sehemu ya mazoezi.
Wenzako hawafanyi kwa ajili ya Afya Bali kwa ajili ya kumpigania Mungu wao ambaye hawezi kjjilinda mwenyewe.
 
Back
Top Bottom