lengo kuu la watengenezaji wa msg hizo ni kutaka saver za whatssapp zi jam...maana zikitumwa kwa mpigo ...lazima saver zijibu..me cjawahi kutuma na cjawahi kufungiwa miaka 2 sasa.. ikija ifute potezea..ni wapinzani wao hao.
yani me nishatoa tangazo la la siku 21 pale bomani ,bado siku nane..naenda kufunga ndoa kimya kimya na mashahidi ...naenda kwetu kwa wazaz wangu,tunapata chakula na wakwe na rafiki zetu wachache...siku inayofuata me na wife zenjiiiiii...tukirudi likizo ya week 2 zimeisha mke job me job...kwisha...
Ndio maanake hilo ndilo jina lake, lakin multchoice tz wanaangalia vigezo gani ndio wakupeleke huko kwa kaka mkubwa..? Hapa Richie tu na Mwampamba ilikuwa bahati hata kuwapata...hebu kumbukeni Latoya,Bhoke mwenzie Lotus wote wa Eatv walifanya nini kule?...vigezo gani vinatumika kuwapata?...sisi...
Stanbic ndio mpango mzima huko kwigine majanga...me nilifanya ,access hizo semina zao zolokuwa bonge la shule safi sana...baada ya hapo contract inasem eti mia 180000/= nikasepa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.